Lipumba: Mihemko ya Tundu Lissu itaiharibia CHADEMA

Lipumba: Mihemko ya Tundu Lissu itaiharibia CHADEMA

Mihemko ya kuwaambia mmeingia Mkenge kumteua Lowassa kuwa Mgombea?, bado mna ujasiri wa kusema mlikuwa sahihi kwny mgombea Urais 2015?
Sijui unaongea nini we kilaza? unashindwa kutofautisha wakati uliopita na uliopo?
 
Aliwatahadharisha kuhusu Lowassa mkamtukana sana

Anawatahadharisha sana kuhusu uanaharakati wa Lissu


Huyu Lissu kwa mliosahau alimshambulia sana Hayati Prof Mwesiga Baregu kwa kukubali uteuzi wa Rais Kikwete kuwa Mjumbe wa Tume ya Warioba lakin baada ya kazi nzuri ya Tume hiyo akajisahaulisha na kugeuka Dalali wa kazi ya Tume hiyo kuliko wajumbe wenyewe
Fuatilia vzr speach ya tundu lissu na Prof.Lipumba wakieleza nini kilikwamisha mchakato wa katiba mpya.

Unadhani ninkwanini kwamara ya kwanza mswada wa kikwete wa katiba mpya 2011 ulipo pelekwa Zanzibar ulichanwachanwa na shekh farid wa uamsho?
Je hiyo tume ya kikwete ipo? Katiba mpya IPO?
 
Mwenyekiti wa chama cha Cuf Prof Lipumba amesema mkutano uliitishwa na Jaji Mtungi ulikuwa wa manufaa makubwa kwa vyama vya siasa kwa kujadili msitakabali wa taifa ila cha kushangaza mihemko ya Tundu Lisu ikaiharibia Chadema na kushindwa kuhudhuria mkutano huo.
Prof Lipumba amesema Tundu Lisu bado hatambui kama yeye ni makamu mwenyekiti wa chama cha siasa cha Chadema na akiendelea na mihemko yake ya kiharakati ataiharibia chadema kwa kupoteza mashabiki wake wengi sana.


mamluiki huyu
 
Ndie alikuwa mpinzani wa kwanza kushtukia mipango ya CCM kusimamisha wagombea wawili katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015, baada ya Kikwete kuambiwa kuwa chama kitamfia mikononi, na lisemwalo likielekea kutimia ndo akaja na mpango madhubuti ambao ulizaa matunda tulioyaona mwaka ule. So jamaa ana maono sana maana aliyosema yalitimia na baada ya kazi kukamilika alietumwa (Lowasa) alirudi alipotoka.

Awe na maono kwenye jambo lisilomuhusu, kisha asiwe na maono kwa CUF kumfia? Lowassa alirudi CCM kwa kuhofia kuuwawa na kufilisiwa. Mwingira leo kaweka ukweli nini kilikuwa kinaendelea huko nyuma.
 
Bila unafiki lisu ana hulka za kimagufuli gufuli flani ambazo hazisaidii sana zaidi ya kuharibu
Kwa nini sasa mataga wanamchukia yeye kuliko kiongozi yeyote wa Chadema?
 
Namkumbuka mzee alikula hela za jiwe halafu akakimbilia rwanda Kula bata kipindi kile cha uchaguzi
 
Lipumba ana wafuasi wengi kuliko Lisu ndiyo maana hajakimbilia kwenda kulishwa bure Ubelgiji
Mlelewa Ubelgiji na amsterdam na umarufu gani

Unawaambia wenzako wajikite kwenye hoja, mbona wewe mwenyewe "mtoa hoja" unatoka nje ya "hoja yako" mwenyewe...?

Ungemsaidia nduguyo Prof. Lipumba kufafanua kwa hoja ni kwa namna gani Tundu Lissu anaweza kusaidia CHADEMA kupoteza hao waitwao "mashabiki" ingekuwa busara sana kwako kuilko haya unayoandika kihusu TL kwa sbb hayana maana na wala hayakusaidii lolote wewe zaidi yanakufanya uonekane purely kuwa wewe ni "mjinga" tu...!
 
Kama Chadema itapoteza mashabiki si ndio vizuri yeye atumie hiyo nafasi kuikuza CUF ili kuchukua nafasi ya Chadema.
Leprofesorer ameshasahau ule mkesha was buguruni usiku nachana huku akiwa na mbeleko ya wanakijani, kama aliona Chadema was nafaa kiingoa kwwnye mtingi amevigo, kwani twajua no ccmcche.
 
Unawaambia wenzako wajikite kwenye hoja, mbona wewe mwenyewe "mtoa hoja" unatoka nje ya "hoja yako" mwenyewe...?

Ungemsaidia nduguyo Prof. Lipumba kufafanua kwa hoja ni kwa namna gani Tundu Lissu anaweza kusaidia CHADEMA kupoteza hao waitwao "mashabiki" ingekuwa busara sana kwako kuilko haya unayoandika kihusu TL kwa sbb hayana maana na wala hayakusaidii lolote wewe zaidi yanakufanya uonekane purely kuwa wewe ni "mjinga" tu...!
Hana namna ambayo anaweza kufanya, uwezo wake upstair ndio unaomwongoza kufanya anachokifanya!
 
Back
Top Bottom