mirror01
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 1,878
- 1,482
hoja gani hiyi mipandikizi ya lichama lenuJikite kwenye hoja yake
hoja gani hiyi mipandikizi ya lichama lenuJikite kwenye hoja yake
Mwenyekiti wa chama cha Cuf Prof Lipumba amesema mkutano uliitishwa na Jaji Mtungi ulikuwa wa manufaa makubwa kwa vyama vya siasa kwa kujadili msitakabali wa taifa ila cha kushangaza mihemko ya Tundu Lisu ikaiharibia Chadema na kushindwa kuhudhuria mkutano huo.
Prof Lipumba amesema Tundu Lisu bado hatambui kama yeye ni makamu mwenyekiti wa chama cha siasa cha Chadema na akiendelea na mihemko yake ya kiharakati ataiharibia chadema kwa kupoteza mashabiki wake wengi sana.
Nafasi ipi tena kaka,? Chadema ilishinda kiti kimoja tu bungeni.Kama Chadema itapoteza mashabiki si ndio vizuri yeye atumie hiyo nafasi kuikuza CUF ili kuchukua nafasi ya Chadema.
Tundu lisu huwa ni baba haambiliki ana too much arrogance behavior, sikuona haja ya kususia ule mkutano na kumshambulia zito, maana wangehudhiria ule mkutano mbowe angekuwa out now kuendeleza mapambano
hivi kuna wanaomwelewaga lipumba kweli?Mwenyekiti wa chama cha Cuf Prof Lipumba amesema mkutano uliitishwa na Jaji Mtungi ulikuwa wa manufaa makubwa kwa vyama vya siasa kwa kujadili msitakabali wa taifa ila cha kushangaza mihemko ya Tundu Lisu ikaiharibia Chadema na kushindwa kuhudhuria mkutano huo.
Prof Lipumba amesema Tundu Lisu bado hatambui kama yeye ni makamu mwenyekiti wa chama cha siasa cha Chadema na akiendelea na mihemko yake ya kiharakati ataiharibia chadema kwa kupoteza mashabiki wake wengi sana.
Hafai kabisa huyo dikteta wa chademaTundu lisu huwa ni baba haambiliki ana too much arrogance behavior, sikuona haja ya kususia ule mkutano na kumshambulia zito, maana wangehudhiria ule mkutano mbowe angekuwa out now kuendeleza mapambano
Bila unafiki lisu ana hulka za kimagufuli gufuli flani ambazo hazisaidii sana zaidi ya kuharibu..tatizo wanaokabiliana na Lissu huwa hawajiandai kwa kujisomea na kutafiti matokeo yake wanaishia kuburuzwa kwa hoja.
..hali hiyo husababisha malalamiko kwamba Lissu anajifanya mjuaji sana, ana kiburi, au anatukana mamlaka.
Katika wapumbavu waliowadhalilisha maprofesa hapa nchini namba 1 ni huyu Prof. Lipumbafu!Mwenyekiti wa chama cha Cuf Prof Lipumba amesema mkutano uliitishwa na Jaji Mtungi ulikuwa wa manufaa makubwa kwa vyama vya siasa kwa kujadili msitakabali wa taifa ila cha kushangaza mihemko ya Tundu Lisu ikaiharibia Chadema na kushindwa kuhudhuria mkutano huo.
Prof Lipumba amesema Tundu Lisu bado hatambui kama yeye ni makamu mwenyekiti wa chama cha siasa cha Chadema na akiendelea na mihemko yake ya kiharakati ataiharibia chadema kwa kupoteza mashabiki wake wengi sana.
Tangu aingie ubia ule mwaka akajiuzuru kisha akakazimisha kurudi namsajili kumuidhinisha nilishamdharau huyu LIPOMOHivi kuna mwenye akili timamu anaweza kumsikiliza Lipumba ?
Kafu imeuliwa na yule alieshirikiana na wale walimpigia deki barabara mgombea B wa CCM (mh Lowasa) alietumwa kuja kusambaratisha vyama vikuu viwili ambavyo vilikuwa tishio kwa chama tawala Zanzibar na Bara. Vyama hivyo ni Chadema na CUF. Lipumba yey kaangushiwa jumba bovu kwa sababu ya kukataa kuhongwa ili amsafishe na kumpigia deki mgombea B wa CCM mh Lowasa. Ni viongozi wa Chadema pekee na hayati maalim Sefu ndio waliokubali kuuza utu wao, kupoteza heshima zao na kumeza matapishi yao kwa sababu ya njaa zao.Alafu baadaye akatumika kuua kafu na kumkimbiza maalimu kafu
Bila unafiki lisu ana hulka za kimagufuli gufuli flani ambazo hazisaidii sana zaidi ya kuharibu
Aliwatahadharisha kuhusu Lowassa mkamtukana sanaHuyu mzee lipumba zinatoka na kurudi
Bila unafiki lisu ana hulka za kimagufuli gufuli flani ambazo hazisaidii sana zaidi ya kuharibu
Ahahahaaaa eti lipumbav nae anatoa ushauri kwa CDM, what a joke?
Huyu kaona zitto anafaidi nae kaamua aingie mchezoni..
Kasahau Mihemko Yake ndo Iliyoiua CUF Bara, msaliti mkubwa huyu