Huyu propesa wa hovyo ajifunze kufunga bakuri lake.Mwenyekiti wa chama cha Cuf Prof Lipumba amesema mkutano uliitishwa na Jaji Mtungi ulikuwa wa manufaa makubwa kwa vyama vya siasa kwa kujadili msitakabali wa taifa ila cha kushangaza mihemko ya Tundu Lisu ikaiharibia Chadema na kushindwa kuhudhuria mkutano huo.
Prof Lipumba amesema Tundu Lisu bado hatambui kama yeye ni makamu mwenyekiti wa chama cha siasa cha Chadema na akiendelea na mihemko yake ya kiharakati ataiharibia chadema kwa kupoteza mashabiki wake wengi sana.
Hoja au kihoja ?Jikite kwenye hoja yake
Mwenyekiti wa chama cha Cuf Prof Lipumba amesema mkutano uliitishwa na Jaji Mtungi ulikuwa wa manufaa makubwa kwa vyama vya siasa kwa kujadili msitakabali wa taifa ila cha kushangaza mihemko ya Tundu Lisu ikaiharibia Chadema na kushindwa kuhudhuria mkutano huo.
Prof Lipumba amesema Tundu Lisu bado hatambui kama yeye ni makamu mwenyekiti wa chama cha siasa cha Chadema na akiendelea na mihemko yake ya kiharakati ataiharibia chadema kwa kupoteza mashabiki wake wengi sana.
Moja kati ya sababu iliyomuondoa Israel mwenye asili ya Burundi nchini Tanzania ni ule uchaguzi wa 2015 baada ya pale hakuwahi kulala kwa amani mpaka anahama makao.Ndie alikuwa mpinzani wa kwanza kushtukia mipango ya CCM kusimamisha wagombea wawili katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015, baada ya Kikwete kuambiwa kuwa chama kitamfia mikononi, na lisemwalo likielekea kutimia ndo akaja na mpango madhubuti ambao ulizaa matunda tulioyaona mwaka ule. So jamaa ana maono sana maana aliyosema yalitimia na baada ya kazi kukamilika alietumwa (Lowasa) alirudi alipotoka.
Tatizo ni kuwa chadema hawajajua kuwa huyo jamaa #dishlimetilt; mpaka watakapotoka usingizini na kulijua hilo itakuwa too late.Prof Lipumba amesema Tundu Lisu bado hatambui kama yeye ni makamu mwenyekiti wa chama cha siasa cha Chadema na akiendelea na mihemko yake ya kiharakati ataiharibia chadema kwa kupoteza mashabiki wake wengi sana.
Sema siku ya kupiga picha na si mkutanoTundu lisu huwa ni baba haambiliki ana too much arrogance behavior, sikuona haja ya kususia ule mkutano na kumshambulia zito, maana wangehudhiria ule mkutano mbowe angekuwa out now kuendeleza mapambano
Mtu anayemquote Lipumba na kumpa uzito ana akili za kuku,anawaza kuchimba wadudu na kudonoa.Mwenyekiti wa chama cha Cuf Prof Lipumba amesema mkutano uliitishwa na Jaji Mtungi ulikuwa wa manufaa makubwa kwa vyama vya siasa kwa kujadili msitakabali wa taifa ila cha kushangaza mihemko ya Tundu Lisu ikaiharibia Chadema na kushindwa kuhudhuria mkutano huo.
Prof Lipumba amesema Tundu Lisu bado hatambui kama yeye ni makamu mwenyekiti wa chama cha siasa cha Chadema na akiendelea na mihemko yake ya kiharakati ataiharibia chadema kwa kupoteza mashabiki wake wengi sana.
Mwenyekiti wa chama cha Cuf Prof Lipumba amesema mkutano uliitishwa na Jaji Mtungi ulikuwa wa manufaa makubwa kwa vyama vya siasa kwa kujadili msitakabali wa taifa ila cha kushangaza mihemko ya Tundu Lisu ikaiharibia Chadema na kushindwa kuhudhuria mkutano huo.
Prof Lipumba amesema Tundu Lisu bado hatambui kama yeye ni makamu mwenyekiti wa chama cha siasa cha Chadema na akiendelea na mihemko yake ya kiharakati ataiharibia chadema kwa kupoteza mashabiki wake wengi sana.
Mwenyekiti wa chama cha Cuf Prof Lipumba amesema mkutano uliitishwa na Jaji Mtungi ulikuwa wa manufaa makubwa kwa vyama vya siasa kwa kujadili msitakabali wa taifa ila cha kushangaza mihemko ya Tundu Lisu ikaiharibia Chadema na kushindwa kuhudhuria mkutano huo.
Prof Lipumba amesema Tundu Lisu bado hatambui kama yeye ni makamu mwenyekiti wa chama cha siasa cha Chadema na akiendelea na mihemko yake ya kiharakati ataiharibia chadema kwa kupoteza mashabiki wake wengi sana.
Alafu baadaye akatumika kuua kafu na kumkimbiza maalimu kafuNdie alikuwa mpinzani wa kwanza kushtukia mipango ya CCM kusimamisha wagombea wawili katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015, baada ya Kikwete kuambiwa kuwa chama kitamfia mikononi, na lisemwalo likielekea kutimia ndo akaja na mpango madhubuti ambao ulizaa matunda tulioyaona mwaka ule. So jamaa ana maono sana maana aliyosema yalitimia na baada ya kazi kukamilika alietumwa (Lowasa) alirudi alipotoka.
Mwenyekiti wa chama cha Cuf Prof Lipumba amesema mkutano uliitishwa na Jaji Mtungi ulikuwa wa manufaa makubwa kwa vyama vya siasa kwa kujadili msitakabali wa taifa ila cha kushangaza mihemko ya Tundu Lisu ikaiharibia Chadema na kushindwa kuhudhuria mkutano huo.
Prof Lipumba amesema Tundu Lisu bado hatambui kama yeye ni makamu mwenyekiti wa chama cha siasa cha Chadema na akiendelea na mihemko yake ya kiharakati ataiharibia chadema kwa kupoteza mashabiki wake wengi sana.