Sijui wanasiasa wetu wengi wao ni watu wa Aina gani Mungu awasamehe but i believe we are going to get good leaders
wadau.
Akiwa amepewa sabuni ya roho ndani ya ulinzi unaomridhisha,huyu bwana aliyemsifia sana el siku alipojiunga ukawa kapanda ndege ya kagame rwandair kufika nairobi then aunganishe kenya airways mpaka uwanja uitwao oliver thambo...
Yadaiwa atatoka johannesburg baada ya siku tatu kwenda london.
Lengo ni kukwepa hasira za wana cuf aliowasaliti.
Wasalamu wanandugu,
Habari nilizozisikia hivi punde ni kwamba Prof.Ibrahim Lipumba ameondoka nchini na ndege ya Rwanda jana baada ya kumaliza kuongea na waandishi wa habari.
Chanzo: Magazetini RFA
Lipumba alipokea milioni 300 toka CCM mapema mwezi uliopita ili kuvuruga ukawa
Binafsi nimeshamvua UPROFESA....Namuona kama CHAKUBIMBI anayetumika na magamba.........
Ashindwe na alegee,Ukawa bado upo imara
Binafsi nimeshamvua UPROFESA....Namuona kama CHAKUBIMBI anayetumika na magamba.........
Haya kenge utakuwa kwenye msafara wa mamaba October 25Mkiitwa nyumbu mnakuwa wakali ukweli ni kuwa bavicha na hao wanaojiita team lowasa me naona kweli ni kundi la nyumbu msiojua wapi mnatoka na wapi mnaelekea, mbaya zaidi mnaongozwa na mihemko, jifunzeni kutafakali mambo sio kumkurupukia kila anaetoka ukawa, bila kutafakali mtaendelea kuitwa wendawazim tena nyumbu kila siku na ukweli pamoja na matusi na kejeli kwa wasomi wanasiasa wakomavu wanaoendelea kuondoka ukawa haiko salama, acheni ubwege wa kukurupuka tafakuri inahitajika
Wasalamu wanandugu,
Habari nilizozisikia hivi punde ni kwamba Prof.Ibrahim Lipumba ameondoka nchini na ndege ya Rwanda jana baada ya kumaliza kuongea na waandishi wa habari.
Chanzo: Magazetini RFA