Lipumba Amtembelea Askofu Gwajima

Lipumba Amtembelea Askofu Gwajima

Lipumba imebidi akamtembelea mhanga mwenzie wa PoliCCM na kumuuliza "walikufanyia ile mambo mwenzio nilishtika mapema Sheikh!!"
 
Hasa wale wenye roho za mumiani. Walitamani pinda awateue waende na jambia wakamalizie ili waone damu wafurahi!.

Shetani hana adabu na hana rafiki.

Mungu aliye Hai ni Mungu Mkuu!.

Team UDINI hawatafurahia hii habari!
 
Kweli bavicha viroba vinafanya kazi, sio huyu Lipumba mlitukana matusi yote aliposema alimuokoa kikwete au kawa mzuri leo? Sijaona vigeugeu kama baayaavichaa
 
Ukipona wembe ni uleule hakuna kuwakopesha wasaliti,sijui nani kamdanganya Pinda kuwa eti atakuwa rais,labda mchagueni awe rais wenu wafipa lakini TZ never,bora tuongozwe na boga kuliko Pinda!
 
Pole mpambanaji Gwaji huku rais wetu yuko njia panda
- Mahakama ya Kadhi
- Katiba mpya -kura ya maoni
- Uandikishaji wa wapiga kura
- wakandarasi wanadai malipo ya kazi za utengenezaji barabara
- Mishahara ya watumishi wa umma kila mwezi wanakopa
- Kumpata candidate wa ccm atakaye chuana na ukawa
- EL kutangaza nia kinyume na maadili ya ccm
- Uchaguzi october, 2015
-etc.

NI SHIIIDA!!!!!!
 
Ukipona wembe ni uleule hakuna kuwakopesha wasaliti,sijui nani kamdanganya Pinda kuwa eti atakuwa rais,labda mchagueni awe rais wenu wafipa lakini TZ never,bora tuongozwe na boga kuliko Pinda!

Tena dawa yake nae inakuja,oktober harudi hivyo kuna mda mzuri tu wa Mungu kumshughulikia huyu mizinguo pindo
 
sina maana hiyo,maana yangu kwa kuwa ametangaza msamaha kesi itakuwa haina nguvu

Nafikiri tokea mwanzo pengo kama yupo ni under cover hivyo naamini kabisa kuna mtu mkubwa wa serikalini ndo anapush haya mambo.Na ukifuatilia vzr gwajima hakuzimia kwasababu ya presha,kuna kitu polisi wamefanya ambacho tutajua ukweli wake soon.Mungu ibariki Tanzania.
 
Profesa Ibrahim Lipumba,mchana wa Leo tarehe 30/03/2015, amemtembelea Askofu Josephat Gwajima aliyelazwa TMJ Hospital.

Amefurahi kuona hali yake inazidi kuimarika na ameshatoka kwenye wodi ya wagonjwa mahututi,(ICU).

Mkuu ''TANZANIA NAKUPENDA'' ninaomba unijulishe ni kitu gani kilitokea kwa baba askofu mpaka afikishwe ICU. Mimi sikupata nafasi ya kujua kilichotokea au anaumwa kawaida?
 
cc
Rtz
Big Show
faiza Froxy
 
Last edited by a moderator:
Nafikiri tokea mwanzo pengo kama yupo ni under cover hivyo naamini kabisa kuna mtu mkubwa wa serikalini ndo anapush haya mambo.Na ukifuatilia vzr gwajima hakuzimia kwasababu ya presha,kuna kitu polisi wamefanya ambacho tutajua ukweli wake soon.Mungu ibariki Tanzania.

sijakuelewa vizuri huyo mkubwa ana bush nini?maana hapa kuna ishu mbili,gwajima kutukana na pengo kusamehe!!
 
Back
Top Bottom