Wamemkosa jembe limepona na anarudi mtaani kuendelea kupambana na wanafiki na wasaliti
Je! kuna kiongozi yupi wa kidini au mtumishi wa Mungu aliyemtembelea Askofu Gwajima mpaka sasa hospitalini ? Msaada wakuu !
Nguvu ya msamaha hiyo, Pengo kamtangazia msamaha naye akatoka ICU.