Lipumba Amtembelea Askofu Gwajima

Lipumba Amtembelea Askofu Gwajima

Km sio Gwajima Kikwete asingekanusha mambo ya mahakama ya Kadhi. Safi Gwajima hata km utakufa au watakufunga utakuwa mkombozi wa Taifa hili. Bila wewe Kikwete asingelielezea vizuri Taifa kuhusu Kadhi. Safi Gwajima.
 
Mtu aliyetukanwa amesamehe sasa nyinyi mnamngangania wa nn.

Mtu akiiba mali ya mtu au kumjeruhi na mapanga huyo mtu aliyeibiwa au kupigwa mapanga akisamehe kesi ya jamhuri iko pale pale.kESI YA GWAJIMA YA KUTOA MATAMSHI YANAYOWEZA LETELEA UVUNJIFU WA AMANI IKO PALE PALE.

PENGO NI TAASISI SIO MTU.
 
Usitumie makalio kufikiri. Tumia kichwa!

Kwa kichwa chako unachotumia kufikiri unaona Gwajima kalishwa sumu na police ndio alizimia au unaona alipigwa vilungu ndio akazimia.
 
ala, mimi sikujua kumbe ni kosa kisheria Mchungaji / Askofu / Sheikh ama Imam kuwashauri waumini wake mambo ya kisiasa / kijamii wakati wa mahubiri.
 
Amen tupo nyuma yako mtumishi wa mungu tunakuombea upone halaka uendele na Huduma
 
Get well soon nabii wetu Gwajma, hakika we ni mtumishi wa Mungu.
 
Hana lolote huyo anatafuta huruma ya watu baada ya kuona kibao kinamgeukia sasa ili hali alijitapa kuwa yeye haogopi polisi,mahakama wala bunge kumbe hakuna kitu...soft kama pamba vileeeeee,yeye aendelee tu kuwatapeli wafuasi wake ambao amewakamata akili kama dini zingine zilivyo,kwa sababu haiingii akilini mtu uanze kutukana watu kwa kujitapa halafu unapoulizwa then unajifanya kuanza kudondoka dondoka,stupid ape!
 
Awe wazi tu maana y alifikiri kuwa anajiweza kumbe ni kama mdudu juu ya mkia wa punda, pund akiupepesa lazma anguke
 
Njama za Lipumba za kutafuta kura za waumini fulani....!
Good trick tho!
 
sijakuelewa vizuri huyo mkubwa ana bush nini?maana hapa kuna ishu mbili,gwajima kutukana na pengo kusamehe!!

GWAJIMA+LAIGWANANI=C(PINDA+PENGO) where C is a constant called "KADHI" with a value of 0.nilitaka nkufichie value ya P ya mwanzo uitafute nkakuonea huruma ujasoma "Hesabu za kikwetu" wewe.
 
Jiweke kwenye position yake kuwa ndiyo wewe unaumwa, akili za ushabiki mbaya sana subiri muda utafika tuu

Haifai kumuonea huruma mtu asie na huruma na watanzanha. Mwizi wa mali za walalahoi na wake za watu.
 
Hana lolote huyo anatafuta huruma ya watu baada ya kuona kibao kinamgeukia sasa ili hali alijitapa kuwa yeye haogopi polisi,mahakama wala bunge !

Mjinga hajui kuwa serikali ni mihimili mitatu tu yaani bunge,mahakanma na serikali.Sasa ina maana aliposema hajali MUHIMILI WOWOTE ina maana yeye ni mhimili wa nne ambao hauko katika kitabu chochote cha utawala NA SIASA duniani.

Inachekesha sasa muhimili wa nne ambao ni GWAJIMA umepanda presha uko hoi TMJ HOSPITAL.
 
Back
Top Bottom