Lipumba Amtembelea Askofu Gwajima

Lipumba Amtembelea Askofu Gwajima

Tutaamini hii ni issue inafaa kupewa uzito kama tutawaona Sheikh mkuu wa Dar es salaam ama Mufti Simba wakienda kumtembelea, Vinginevyo ni porojo tu!
 
Amalize haraka kuigiza ili akaendelee na mahojiano polisi.

Elungata# jaribu kushughulisha akili yako kufikiri kidogo, kama Gwajima angekuwa hataki kuhojiwa asingeenda polisi mwenyewe?hivyo ni kitu kilitokea si maigizo...taarifa zaidi wanazo madaktari
 
Je! kuna kiongozi yupi wa kidini au mtumishi wa Mungu aliyemtembelea Askofu Gwajima mpaka sasa hospitalini ? Msaada wakuu !

Ndiyo Baobao...maaskofu wa CPCT walienda jumamosi mchana na walihojiwa na waandishi wa habari
 
hii habari ni mbaya kwa vijana wa lumumba maana kwa udini wao sijui watakuja wa lip?
 
Naomba majina ya maaskofu hao na kile walichoeleza kwa waandishi wa habari ya kumfariji ask.Gwajima;bila kusahau ushahidi hata picha za eneo la tukio !
Ndiyo Baobao...maaskofu wa CPCT walienda jumamosi mchana na walihojiwa na waandishi wa habari
 
Kawaida mgonjwa akiwa mahututi halafu ajapata nafuu ghafla huwa ni ishara ya kupewa fursa ya kuaga kabla hajadanja
 
Marko 16: 17 - 18 inasema....

17 Na ishara hizi zitafuatana na hao waaminio; kwa jina langu watatoa pepo; watasema kwa lugha mpya;
18 watashika nyoka; hata wakinywa kitu cha kufisha, hakitawadhuru kabisa; wataweka mikono yao juu ya wagonjwa, nao watapata afya.
 
Tunawahitaji hawa viongozi wadini wenye kuweza kukemea unafiki wa pengo,hakuna aliyempinga aliposema bwana moja ni chaguo la mungu...sasa analo makanisa yamechomwa mapdre wake wawili wametangwa risasi mbele ya huyu chaguo la mungu.....
 
Back
Top Bottom