miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,109
waapiiii, kabla sijamsifia hapa niliona vyote hivyo wakati anaongea na simu alikuwa anacheka hivo niliona hadi fizi, yaani mdomo umekamilika, sikuuona ulimi tuu ila the way lips zake zinavutika akichek uwiiiiii nadataaa!!
un explainable, sijui mnywaji wa bia au wa sigara anaweza kukuelezea anapata raha gani akinywa bia au kuvuta sigara, may be atakwambia stim inapanda. To me is pleasure, I get pleasure na nakuwa satisfied na inaishia hapo. I love kissing kwa kweli
hahahaa, ei inaishia hapohapo..we mkali! warumi wa kale walikuwa na mtindo wao huo, mume anamwita maid anamchezea na kunyonya dushe wakati bibi yuko pembeni akitazama, mume akishakuwa tayari anakwenda kwa mkewe ambaye naye yuko tayari kwa kutazama tu kisha wanaendelea, kazi ya maid inakuwa imeishia hapo!
hahahaahaa kweli inaishia hapo
hahahaahaa kweli inaishia hapo
hahahaa, angalia lakini, wakati umening'inia kula denda mkono usije kugusa kwenye suruwali ukavutiwa zaidi na dushe!
Hujaona ya kwangu Kasinde. Takutumia kwenye PM.Habari zenu wapendwa,
Kama kawa kama dawa Kasie is on board, yaani acha tuu niwasimulie na mnisikilize.
Haina mashiko saana ila ndo beats za Kasinde.
Leo bana mida ya lunch nilienda ofisi fulani hivi kupata huduma sasa tukiwa kwenye foleni mtu wa mbele yangu alikuwa kijana mdogo tuu, mdogo kwangu kwa makadirio ya haraka nimemzidi kama 10 to 15 yrs.
Huyu kijana alinifanya nizubae na sikutaka foleni iende, midomo yake uwiiii mizurii yaani nilikuwa naiwaza tu.
Mbaya zaidi akawa anaongea na simu akicheka sasa midomo inanihorojesha, sikuwahi kuwaza kama naweza izimikia midomo ya mtu ila leo nime proof.
Yeye kama yeye simpendi ila midomo.
I love kissing Kasinde mie
Kwa mtu kama stakubali iishie hapo.... watu wa pwan husema hallua haina makombo bwana... ukianza ila shart uimalize
juicy lips....
Habari zenu wapendwa,
Kama kawa kama dawa Kasie is on board, yaani acha tuu niwasimulie na mnisikilize.
Haina mashiko saana ila ndo beats za Kasinde.
Leo bana mida ya lunch nilienda ofisi fulani hivi kupata huduma sasa tukiwa kwenye foleni mtu wa mbele yangu alikuwa kijana mdogo tuu, mdogo kwangu kwa makadirio ya haraka nimemzidi kama 10 to 15 yrs.
Huyu kijana alinifanya nizubae na sikutaka foleni iende, midomo yake uwiiii mizurii yaani nilikuwa naiwaza tu.
Mbaya zaidi akawa anaongea na simu akicheka sasa midomo inanihorojesha, sikuwahi kuwaza kama naweza izimikia midomo ya mtu ila leo nime proof.
Yeye kama yeye simpendi ila midomo.
I love kissing Kasinde mie
To me money aint a thing..........!!! I had enough to satisfy myself
si umeona sasa wanawake mlivyo!! basi angekuomba namba ya simu hapo ungetoa fastaaa!!!
halafu mnasema wanaume wana matatizo kumbe nyinyi ndio mna matatizo!!!
aaaaaagggrrrrrrrr!!!!!!
Okey hongera sana me pesa haonitoshagi
Hahahahaahhaaa I wonta bana, am very keen looh, kwanza kwenye long kiss mikono inakuwa maeneo ya juu na si chini, na yeye akianza kupeleka mikono chini nasitisha zoezi looh
Kwanza mnakuwa mmebanana hata nafasi ya kupitisha mkono katikati haipo halafu huwa napenda kutembe na pochi zile zenye mkanda mrefu, hivo nitaiweka pochi katikati ya matukio korofi ili hata dushe yake ikisimama isiniguse maeneo yangu korofi hehehehee hivo itaishia hapo tuuu