najmarsaidy
Member
- Sep 17, 2016
- 47
- 46
Too expensive Chang kizuri zaid ya hicho Laki 3tuu punguza bei aloo vitachacha hivo sio kwa usawa huu
Kwa ID Yako hii, sishangai kupanic.350,000 bado ghali Nenda LAMU utapewa bure.
Hii tabia ya watu kujifanya 'critics' kwenye biashara za watu mnakera Argrr!
nipoooo nimejaa teleafu wewe nimekumiss sana! upo?
Siyo hali mbaya tu bali haviuzwi hiyo bei...ukivitaka putia baadhi ya marnro wana dizaini nyingi na bei nzuri...kwa mfano hicho ni laki na nusu ama elf 90...sasa sijui yeye kaamkia wapi huyu kuibia watu.Mbona kidogo kwa hiyo 500000? Hapana punguza bei ndugu hali ni mbaya
Yani kwa hapo hata me natoa laki tanoDu! Aisee hivyo vitanda vyako wala havivutii na wala haviendani na hiyo bei. Kwakukusaidia ngoja nikuonyeshe vitanda vya chuma vyenye hadhi hata ukiambiwa laki 5 huwezi lalamika joh..... Just take a lookView attachment 432144View attachment 432145View attachment 432146View attachment 432147
Wala usihangaike, Lamu wanatoa BURE Nenda.Siyo hali mbaya tu bali haviuzwi hiyo bei...ukivitaka putia baadhi ya marnro wana dizaini nyingi na bei nzuri...kwa mfano hicho ni laki na nusu ama elf 90...sasa sijui yeye kaamkia wapi huyu kuibia watu.
Kama hela rahisi hivyo auze 1milion kabisa
Ficha ujinga wako ww.....huku ni mtandao kuna watu wa kila aina usidhan umekuja huku ukiwa na mawazo ya kwamba watu wote humu wametoka matombo juzi kwa hiyo ukaona rahisi tu kutapeli watu....si ulalie mwenyewe sasa unauza vya nini?Wala usihangaike, Lamu wanatoa BURE Nenda.
Instalment yake ingekuwa na maana kama ukilipa nusu unapewa kitanda then baada ya muda unamalizia hela iliyobakiKwanza bei yako ni kubwa sana, kuna vutanda niliona vinatengenezwa pale mwananyamala, aisee ni vizuri, wanatumia black pipe nene, sijui ni inchi ngapi, yaani vinavutia kwakweli na price zao ni 350000 tu, sasa hichi cha kwako siajona kwanini unakiuza laki tano.
Ingawa biashara ni matangazo, lakini angalau bei ifanane na uhalisia.
idea ya kulipa kwa instalment ni nzuri lakini
Ulivyosema nepi nikajaribu kukumbuka papuchi ya leo na ile ya kipindi hicho!teh teh nimemkumbuka bibi yangu akinibadilisha nepi
Jiulize kwa nn Pepsi na Coca cola zimeshuka bei hadi 500, kwa nn Halotel wana kifurushi cha 100/= chips bando, kwa nn nyama na kuku havikupanda bei sikukuu hizi, utajua umuhimu wa kukwepa faida kubwa ili uuzeHabari wakuu.
Kutokana na hali ya kifedha iliyopo, si wengi wanaomudu kufanya manunuzi kwa fedha taslimu.
Hivyo, sisi DARAJANI FURNITURES tunakutengenezea kitanda cha chuma kwa kulipia awamu mbili.
Mfano kitanda hiki pichani ni futi 5 * 6 na bei yake ni shilingi laki tano(500,000/-) ambapo utalipa laki mbili na nusu(250,000/-) na kuanza kutengenezewa, ukija kumalizia laki mbili na nusu(250,000/-) utakabidhiwa kitanda ndani ya wiki moja toka ukamilishe malipo ya pili. Tunashauri malipo ya pili yawe ndani ya siku 30 toka yale ya awali.
Tupo Daraja jipya Kigamboni"
Simu:0713-039875
View attachment 431902
View attachment 431903
Aisee ficha ushamba wako kwa kukaa kimya unajiaibishaVitanda vya chuma vimerudi? Vilikuwapo miaka ya 1980. Ni vya kishamba sana....
Ishu siyo bei mkuu,Habari wakuu.
Kutokana na hali ya kifedha iliyopo, si wengi wanaomudu kufanya manunuzi kwa fedha taslimu.
Hivyo, sisi DARAJANI FURNITURES tunakutengenezea kitanda cha chuma kwa kulipia awamu mbili.
Mfano kitanda hiki pichani ni futi 5 * 6 na bei yake ni shilingi laki tano(500,000/-) ambapo utalipa laki mbili na nusu(250,000/-) na kuanza kutengenezewa, ukija kumalizia laki mbili na nusu(250,000/-) utakabidhiwa kitanda ndani ya wiki moja toka ukamilishe malipo ya pili. Tunashauri malipo ya pili yawe ndani ya siku 30 toka yale ya awali.
Tupo Daraja jipya Kigamboni"
Simu:0713-039875
View attachment 431902
View attachment 431903