Lipi ni JANGA LA TAIFA?

Lipi ni JANGA LA TAIFA?

Bujibuji Simba Nyamaume

Platinum Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
78,121
Reaction score
165,987
IPI NI JANGA LA KITAIFA?
1.ufisadi,
2.Ukimwi,
3.Malaria,
4. Madawa ya kulevya,
5. Kusafirisha wanyama nje,
6. Ujangili kwa wanyama,
7.Umeme,
8.mitandao ya simu za mikononi?
9.rushwa,
10. Ajali au kuna lingine?
 
ipi ni janga la kitaifa?
1.ufisadi,
2.ukimwi,
3.malaria,
4. Madawa ya kulevya,
5. Kusafirisha wanyama nje,
6. Ujangili kwa wanyama,
7.umeme,
8.mitandao ya simu za mikononi?
9.rushwa,
10. Ajali au kuna lingine?

c.c.m.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
IPI NI JANGA LA KITAIFA?
1.ufisadi,
2.Ukimwi,
3.Malaria,
4. Madawa ya kulevya,
5. Kusafirisha wanyama nje,
6. Ujangili kwa wanyama,
7.Umeme,
8.mitandao ya simu za mikononi?
9.rushwa,
10. Ajali au kuna lingine?
Mwigulu, Nape, Juliana Shonza na Mtela Mwampamba
 
Hayo yote yaliyopo hapo juu yana-fall under universal set CCM
 
IPI NI JANGA LA KITAIFA?
1.ufisadi,
2.Ukimwi,
3.Malaria,
4. Madawa ya kulevya,
5. Kusafirisha wanyama nje,
6. Ujangili kwa wanyama,
7.Umeme,
8.mitandao ya simu za mikononi?
9.rushwa,
10. Ajali au kuna lingine?

"J"anga la "K"itaifa
 
ufisadi unaopelekea umasikin,rushwa, ukimwi ( hali ngumu usababisha umalaya) ,malaria ( pesa za kupambana na malaria utafunwa) ,ajali ( trafic kupokea kitu kidogo barabaran) kusafirisha wanyama nje ( ufisadi unausika apo lazima kuna kitu kidogo)
kwa ufup ufisadi ndio chanzo cha yote.
 
IPI NI JANGA LA KITAIFA?
1.ufisadi,
2.Ukimwi,
3.Malaria,
4. Madawa ya kulevya,
5. Kusafirisha wanyama nje,
6. Ujangili kwa wanyama,
7.Umeme,
8.mitandao ya simu za mikononi?
9.rushwa,
10. Ajali au kuna lingine?


Yote uliyoyataja na labda nichangie tu Chama Cha Mapinduzi ndiyo namba moja.
 
mikataba ya kichina inayotoa ajira nyingi kwa wachina badala ya watanzania!!!!
 
Back
Top Bottom