nilisahau nikakugongea senks kumbe hutakagi
Masaki baba toa ya kwako fasta...............
Naendelea vizuri sana na therapy, ila leo nina hamu sana na LIVE BAND ya Kalunde pale New Africa. I hope sitaingia majaribuni nikiwa pale!
wakwetu kuwa makini na curtain....ohoooo
Sijaelewa swali mama!
I will watch ur back bila fee (another waiver...dayyyyyyyyyyyyym) naharibu profession tu!!!
...haya soma signature ya pazia and do ze nidful!!!
mwaya umeona eeeh!!! yaani anataka za wawili tu (lucky them)
BTW; mwenzio namis ngubiti jamani.....
Twin imagn shemeji yako .............. watu wanakula,na unajua jinsi navyo mpenda yani sioni mtu mwingine zaidi yake sasa unadhani nikimuacha ndo ataacha tabia yake?si ndo atafanye kwa juudi zote coz anajua ntatoa siri pia ana stress?muhimu ni kukaa nae na kumuelezea madhara yake,twende hsp counclellng na mengineyo yafuate maana huyu ni mume rememba?lazima iwe siri yetu,aibu yake ni yangu,plz Twinuska undstend
alafu wee twinushka kuna mahali nimemkuta huyo............tutaongea!!!
twin weee mie ntamsamehe akichafua na mwanamke mwenzangu(tena sio ndo avimbe bichwa)
ila huo uchafu mwingine sina choice
naona kama siku hizi hazipo...sukari guru adimu...poor hawa new generation...hawaenjoy kabisa
sio lengo langu jamani............Mmmh! Mbona unataka kuharibu weekend ya wenzio tena?
alafu wee twinushka kuna mahali nimemkuta huyo............tutaongea!!!
twin weee mie ntamsamehe akichafua na mwanamke mwenzangu(tena sio ndo avimbe bichwa)
ila huo uchafu mwingine sina choice
eeeh wapi tena TWin?Jaman c unaona hali ya hewa vichomi vimenikamata upya ,niambie Twin najua uchungu wa mume ww unaujua plz,angesema mwinhine ningejua wizi mtupu but u, iz me me iz u
Ok! If you say so! Nime- waive adhabu niliyotaka kukupa........
You will be rewarded the other way round! Huwezi kujua, pengine come 2011 utakuwa pale Ubalozini kupokea zile tuzo walizokwishapokea akina Kilango Malecela na Ananilea Nkya!
Keep waiving my dear! Kwa afya yangu tu lakini!