bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,860
hatua ya nn tena?kila mtu na starehe yake bana ilimradi mm napata mambo yangu,moyo wangu swaliiiiiiiii
eeeeh twin kweli you have a heart!!!!!!
hatua ya nn tena?kila mtu na starehe yake bana ilimradi mm napata mambo yangu,moyo wangu swaliiiiiiiii
Kiongozi hebu acha kunipandisha mzuka. Nikishakamata paya pale Up to date, ntapitia pale why not kushushia kiduchu. Then ntamcheki Eliza pale Zero pub kabla sijaja kukukamata hapo viola.
wacha banasasa najua kwa nini Brigitta anatu-group mimi,wewe na balantanda pamoja!!!!!!
Kwa hiyo utaendelea kubaki naye kwenye ndoa? Ila kama ungemfuma anatembea na mwanamke mwigine ndiyo mngeachana?
wacha bana
hatua ya nn tena?kila mtu na starehe yake bana ilimradi mm napata mambo yangu,moyo wangu swaliiiiiiiii
my dia huo u f...... wake afanye huko mm nisijue,mwanamme mwanamme tu dia tusijidanganye kama akiamua kuweka makazi nje zea is no way utamzuia hata umpe nn!for me afanye atakavyo but kinga asisahau,pili mambo ya nyumbani muhim asisahau,tatu heshima iwepo yani I DONT WANNA KNW ANAFANYA NN,but hata nikiskia kwa mtu mm ni tomaso lazima nione then ntatoa maamuzi lkn for me hakuna kosa lisilo sameheka bana,.
I hope you don't mean what I am thinking!
sasa najua kwa nini Brigitta anatu-group mimi na wewe pamoja!!!!!!
Sijakupata vizuri DC...Uchafu upi unaozungumzia? Wa mwanaume kuwa na mahusiano na mwanamek mwingine nje ya ndoa yake; AU uchafu wa mapenzi ya jinsia moja? Na je lipi bora au lipi lenye afadhali?
hakuna hata moja bora, yote ni ya kukemea na kuyalaani vikali!!!Sasa nauliza nyie wanawake. lipi bora ugundue kwamba mumeo anatembea nje ya ndoa na mwanamke mwingine, au ugundue kwamba mumeo ni shoga na anapumuliwa kisogoni kwa siri na wanaume wenzie?
haswaaa yani kukinzana hapo hakukwepeki ila kwenye red duh it shall never happen!!Yaani hapo unamaanisha kwamba hapo kamwe hautakubaliana na Pearl hata kama ikibidi undugu au ule utwinistuka sijui ufe.........!!!
hakuna hata moja bora, yote ni ya kukemea na kuyalaani vikali!!!
I don't have enough oxygen in my brain right now, so I can't think loudly....!! Labda baadaye nikishafika kaunta!
Usijali dada. Kila shetani na mbuyu wake.
Kutembea nje ya mahusiano (ya mke na mume) ni uchafu tu. Sasa hayo unayoongelea ndo uchafu wenye uvundo wa ajabu na unaotishia amani. Purely devilish!
Hapo we shall (hapa masaki utasoma kitaaluma zaidi) differ to death!!!
afu sijafanya follow up ya ile project for a while now!!!
You wont mind updating me on that late right????