bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,860
it depends nani alikulaza jana B?
hahaaaaa mbona unaingia ndani sana......imekuwaje B!!?? ikawaje wewe usimwone kama alikuwepo??
it depends nani alikulaza jana B?
hahaaaaa mbona unaingia ndani sana......imekuwaje B!!?? ikawaje wewe usimwone kama alikuwepo??
ooh B kumbe nimeingia ndani sana....lol haya nimeretractmy statement...
_just a statement eeeh na si confession, hiyo haina tabu....
afu B mbona sikuona maoni yako kwenye hii issue??
_____________
You dont have to win every Argument, Agree to Disagree
_
umeyaona sasa B? lol
hahaaaaa umenikata kauli B!!
Mimi ni Mtanzania mstaarabu ninayeishi Abu Dhabi UAE.
Natafuta kijana wa kufanya kazi za ndani ninapokuwa kwenye shughuli zangu.
Sijaoa, ninaishi mwenyewe kwenye jumba langu la kifahari.
Kijana wa kazi ninayemhitaji LAZIMA awe WAKIUME.
Elimu yoyote ile hamna shida.
Ikiwa unahitaji kazi niandikie, mikwerez@ymail.com.
Mshahara mnono utapata kutokana na UZITO wa majukumu utakayokuwa nayo, gharama za kukuleta huku ni juu yangu.
SIFA:
1. Awe mnene
2. Mweupe/Maji ya kunde
3. Msafi, mtanashati
4.Usiwe mbishi ktk kazi utakayopangiwa.
TUWASILIANE KWA EMAIL HAPO JUU.
Wabilah Tawfiq
Jamani hii nimeikuta kule kwenye jukwaa la siasa! Huyo ni kweli anahitaji mfanyakazi wa ndani au ni basha mzoefu?
Maaana nimeshangaa sana hizo sifa za huyo houseboy!
this guys wanatamani sana utumwa urudi ijapokuwa hadi sasa hivi upo kisiri siri
nimesikia mara nyingi sana watu huko mombasa hasa wadawa wamefanyiwa kitu mbaya huko..wanaahidiwa kazi nzuri wakifika wananyanyaswa....wengine inabidi kujirusha kutoka ghorofani kwa adha wanazopata
sasa kwa huyu wa kiume...dalili zote ndo hizo....watu imeni imewatoka sasa hivi!
Ndiyo hayo aliyosema WOS kwenye hii thread kwamba kuna kijana wa miaka 15 ''kaolewa'' na kigogo mmoja na kupangishiwa nyumba fully furnished! Jamani! Ama kweli ni siku za mwisho!
yaani umri wa minority huo!!!!
what has gone over people's heads, uozo wa maadili umetufikisha pabaya sana...
Kuna jamaa I used to work with, ni kijana mtanashati lakini si riziki, two months back kuna mtu alimkuta A rusha live akifanya mchezo mchafu na jizungu (he was suckn the 'thing')
Huyo jamaa aliporudi alikuja straight kuja kumuulizia then akaambiwa hapa kwetu hayupo tena......''ana bahati leo nilikuja kwa ajili yake and I would have slapped hm in front of every one here" (nd remarks alizotoa mzee wa watu na sijui kwa nini hakumpigia kule alipomkuta live)
huu ndo ulimwengu tuishimo, tuendelee kushangaa ya Musa na ya Firauni yaja!! (au ndo haya)?
Unauliza jibu? Ndio haya!
Ila nina wasiwasi na huyo mzee aliyekuja kumuulizia hapo ofisini kwenu, usikute naye alikuwa anataka, alipomkosa ndio akajifanya kufoka! Hahahahahahahah!!!