Heshima kwako Gang Chomba,
Kupenda wakati mwingine unaweza kuonekana kama chizi.Nakumbuka nilikuonya sana ulipokuwa unaipigia debe AC Milan kwamba watawafunga Manchester ukaamua kuweka pamba masikioni leo unakuja jamvini kumtetea mchezaji aliyepitwa na wakati.Dinho amepitwa na wakati kumpeleka SA itakuwa kosa kubwa kuwahii kufanywa na Brazil,tumwache abaki AC Milan na wachovu wenzake.
Nashindwa kuelewa kwa nini Maradona anashindwa kutengeneza timu yenye striker wakali kama Messi,Higuain,Milito,Aguero,Tevez
Oh dear Lord!..Messi ni habari nyingine, napenda kumwangalia akisakata f/ball!..
heshima yako Gang Chomba,
naungana nawe ktk suala zima la dinho huyu ni mchezaji wa kipekee na kuna hatihati mpaka kizazi chetu kinapotea duniani hakuna wa kumlinganisha.nani anakumbuka kwa skills zake alipokuwa barca washabiki wa madrid walimshangilia?hivi leo huko milan anafanya mambo ya kutisha waulize wataliano.kama mna kumbukumbu waulize wafaransa alipokuwa PSG au kama mnabisha rudisha memory alipokuwa brazil kwao.DINHO HAFAI NA KAMA HATOCHUKULIWA SOUTH AFRICA LAANA YA BRAZIL HATA ROBO FAINALI KWAO NDO MAFANIKIO MAKUBWA
Karibu Emirates J4.
wacha1,I have a funny feeling Arsenal atashinda j4.my only worry wataweza kushinda kwa bila?i.e 2-0 au 1-0,kama unavyojua goli la ugenini ni issue CL.
Barca hawajapata test kama watakayopewa na Arsenal for a while,gunners wana speed na wana very dangerous one-touch football,sidhani katika wapinzani wengi barcelona kashakutana na kitu kama free-flowing gunners since walivyokutana 2006 CL final.
Timu zinazosumbua Arsenal ni well organised of which Barca isnt one of them,here im talking the like of MAN UTD,CHELSEA.
Karibu Emirates J4 tiketi bado zipo kwa wale wasiokuwa na tiketi za musimu lazima tuwabane na tuwape kichapo, si unaona Henry hataki kucheza, anafahamu nini kitatokea. Then wakati nyie majeruhi wanazidi sisi wanapona.
Naona huwa unasahau mapema sana msimu uliopita Chelsick tuliwakung'uta nyumbani kwao, vile vile Manure, huwa unaangalia mpira gani? Mwaka huu mmepata bahati ya mtende kwa sababu Van Perse alikuwa majeruhi hata hivyo bado tupo kwenye kinyang'anyiro sisi ni timu kubwa mazee donge tu unalo kooni.
kuwasumbua haina maana kuwa wanawafunga kila siku,ukilinganisha na timu zingine im sure niko sahihi 100% man utd na chelsea ndio wanawasumbua sana,
hapo kwenye red bold NO COMMENT.
Nidhamu!!? You sound like Maximo (Maksio)a.k.a Kingwendu.1.Messi hakuna Ubishi ni mwanasoka bora.
2.Rooney naye ni mchezaji mzuri ni mpiganaji.
Drogba hana nidhamu ahata akiwa mzuri kukosa nidhamu haistaili hata kuweko kwenye 5. Kuna mchezaji anaitwa Mamadou Niang. yuko france yul jamaa ni hatari. Wegi hapa tunaaangalia ligi ya UK sana na mechi chache za champions ndio maana tunaishia kuwataja wachezaji wa PL.
Kwa mujibu wa utafiti wa soka uliofanywa hivi karibuni, Dinho ni mchezaji bora wa muongo wa 2000-2010, nadhani Messi naye atakuwa mchezaji bora wa Muongo wa 2010-2020!
Kwa mujibu wa utafiti wa soka uliofanywa hivi karibuni, Dinho ni mchezaji bora wa muongo wa 2000-2010, nadhani Messi naye atakuwa mchezaji bora wa Muongo wa 2010-2020!
Karibu Emirates J4 uone kama atafurukuta.
BEST PLAYER EVER!!!
.