Lionel Messi

1. Messi
2. Ronaldo
3. Drogba
4. Robinho
5. Rooney
6. Henry
7. Torres
8.David villa
9. Van persie
10. Higuain

Mkuu ng'wanza madaso heshima mbele...
Nimesikitishwa sana na top 10 yako.

Naomba uifanyie marekebisho hiyo list yako kabla hujaandikwa kwenye kitabu cha hukumu huko mbinguni kwa baba.

Ni dhambi kubwa kuwaweka juu watu kama Robinho, higuain, sijui torres,drogba, henry, ronaldo halafu ukamuacha yule mtu ambae inasemekana kama mpira ungekuwa na mdomo basi ungeagiza kila dakika upelekwe kwa huyu muheshimiwa ili mbinguni na duniani wapate kuburudishwa.

Umenisikitisha sana.
 
Naona Rooney ungemtoa kwenye list hii bora hata Drogba, Magoli ya Rooney yeye anasubili Valencia amletee kichwani ndo afunge.Messi kiboko ni mchezaji bara na atabaki kuwa mchezaji bora.Kwa mechi ya jana dhidi ya Zaragoza dogo alicheza vizuri sana,japo Abrahimovic alipoteza nafasi nyingi za wazi lakini Messi hakukata tamaa,aliendelea kucheza vizuri hata ile penalty aliamua kumuachia Abrahimovic lakini angekuwa Rooney angetaka yeye ndo apige.Messi hana majivuno wala hasira za ajabu ajabu hasa awapo uwanjani. Messi bado namba moja na Rooney asahau kabisa.
Mheshimiwa Madaso,
Mi naomba nifanye marekebisho kidogo katika mtu huyu niliyemuekea rangi nyekundu, anaitwa IBRAHIMOVIC na sio kama ulivyoandika. Unaelekea kumtaja tajiri wa watu, wenyewe watakuja juu! Hilo tu.
 
MABIBI NA MABWANA NAKUJA MBELE YENU NIKIWA NA KURA YA VETO NA NAPINGA MUSWADA HUU.

Sipingi Messi kuwa ni mchezaji mzuri, lakini sifa na mbwembwe mnazompa sio zooote anastahili.

Messi kafanya mambo meengi sana, kiasi kwamba kwa umri wake ni vigumu kuamini.

Lakini nirudi kwa wadau waliopata kuchangia hapo awali ktk hii thread. Wengi wameonekana kuongozwa na mapenzi kuliko uhalisia.

inasikitisha kuona mtu kama Didier Drogba, Robin Van Persie, Gonlo Higuain, Torres, Na Robinho wanawekwa kwenye Top 10 halafu watu wanamtupa nje the Saint Ronaldo de assis Moreirra almaaruf kama Ronaldinho Dinho Gaucho.

DINHO...
Ni mchezaji aliyebeba La Liga, Champions League, kombe la Dunia pamoja na kuwa mwanasoka bora wa Dunia mara kadhaa...haya ni baadhi tu.

Dinho kwa nafasi yake ya kiungo amepata kuzisaidia timu alizopata kuchezea na kufunga magoli na kama huamini hilo mpk hivi ninavyoandika Mtakatifu Gaucho amefunga magoli 9 ktk serie A na kutengeneza magoli 14, na mengi kati ya magoli hayo yametokana na pasi inayojulikana kama ''briliant blind pas''...pasi ambayo duniani inapatikana kwa mtakatifu huyu tu.

Huu ni wastani mzuri kwa kiungo anayecheza kwenye ligi yenye mabeki wehu zaidi.

Ni wazi pia kuwa the saint ana spidi, chenga, pasi zenye upako, anauwezo wa kufunga, ana uwezo wa kupiga mipira iliyokufa, kupiga penati, hana hasira, na pia ni wazi kuwa hakuna mchezaji duniani mwenye uwezo wa kuuchezea mpira kwenye mechi kama mtakatifu huyu ambaye tarehe 21 mwezi huu wa 3 katimiza mwaka wa 30 tangu ashushwe.

Hivyo kama mtachagua mchezaji bora basi hao wa kwenu mnatakiwa muwatoe.
Ila kama mtaamua kuwataja ili mradi tu basi mnaruhusiwa kuwajumuisha na hao wenu wasioyajua mafanikio ya kimataifa wala radha ya kubeba kombe la dunia au radha ya kuwa mwanasoka bora wa dunia ni ipi.

Mwisho naomba hoja ijibiwe kwa hoja na si vioja kama wengi wenu mtakavyofumuka na ushabiki mahaba.

Forza Milan
 
1.Messi hakuna Ubishi ni mwanasoka bora.
2.Rooney naye ni mchezaji mzuri ni mpiganaji.

Drogba hana nidhamu ahata akiwa mzuri kukosa nidhamu haistaili hata kuweko kwenye 5. Kuna mchezaji anaitwa Mamadou Niang. yuko france yul jamaa ni hatari. Wegi hapa tunaaangalia ligi ya UK sana na mechi chache za champions ndio maana tunaishia kuwataja wachezaji wa PL.
 
MABIBI NA MABWANA NAKUJA MBELE YENU NIKIWA NA KURA YA VETO NA NAPINGA MUSWADA HUU.

Sipingi Messi kuwa ni mchezaji mzuri, lakini sifa na mbwembwe mnazompa sio zooote anastahili.

Messi kafanya mambo meengi sana, kiasi kwamba kwa umri wake ni vigumu kuamini.

Lakini nirudi kwa wadau waliopata kuchangia hapo awali ktk hii thread. Wengi wameonekana kuongozwa na mapenzi kuliko uhalisia.

inasikitisha kuona mtu kama Didier Drogba, Robin Van Persie, Gonlo Higuain, Torres, Na Robinho wanawekwa kwenye Top 10 halafu watu wanamtupa nje the Saint Ronaldo de assis Moreirra almaaruf kama Ronaldinho Dinho Gaucho.

DINHO...
Ni mchezaji aliyebeba La Liga, Champions League, kombe la Dunia pamoja na kuwa mwanasoka bora wa Dunia mara kadhaa...haya ni baadhi tu.

Dinho kwa nafasi yake ya kiungo amepata kuzisaidia timu alizopata kuchezea na kufunga magoli na kama huamini hilo mpk hivi ninavyoandika Mtakatifu Gaucho amefunga magoli 9 ktk serie A na kutengeneza magoli 14, na mengi kati ya magoli hayo yametokana na pasi inayojulikana kama ''briliant blind pas''...pasi ambayo duniani inapatikana kwa mtakatifu huyu tu.

Huu ni wastani mzuri kwa kiungo anayecheza kwenye ligi yenye mabeki wehu zaidi.

Ni wazi pia kuwa the saint ana spidi, chenga, pasi zenye upako, anauwezo wa kufunga, ana uwezo wa kupiga mipira iliyokufa, kupiga penati, hana hasira, na pia ni wazi kuwa hakuna mchezaji duniani mwenye uwezo wa kuuchezea mpira kwenye mechi kama mtakatifu huyu ambaye tarehe 21 mwezi huu wa 3 katimiza mwaka wa 30 tangu ashushwe.

Hivyo kama mtachagua mchezaji bora basi hao wa kwenu mnatakiwa muwatoe.
Ila kama mtaamua kuwataja ili mradi tu basi mnaruhusiwa kuwajumuisha na hao wenu wasioyajua mafanikio ya kimataifa wala radha ya kubeba kombe la dunia au radha ya kuwa mwanasoka bora wa dunia ni ipi.

Mwisho naomba hoja ijibiwe kwa hoja na si vioja kama wengi wenu mtakavyofumuka na ushabiki mahaba.

Forza Milan
Huyu kipindi chache kilishapita hana nafasi tena ni nani kama Messi!
 
MABIBI NA MABWANA NAKUJA MBELE YENU NIKIWA NA KURA YA VETO NA NAPINGA MUSWADA HUU.

Sipingi Messi kuwa ni mchezaji mzuri, lakini sifa na mbwembwe mnazompa sio zooote anastahili.

Messi kafanya mambo meengi sana, kiasi kwamba kwa umri wake ni vigumu kuamini.

Lakini nirudi kwa wadau waliopata kuchangia hapo awali ktk hii thread. Wengi wameonekana kuongozwa na mapenzi kuliko uhalisia.

inasikitisha kuona mtu kama Didier Drogba, Robin Van Persie, Gonlo Higuain, Torres, Na Robinho wanawekwa kwenye Top 10 halafu watu wanamtupa nje the Saint Ronaldo de assis Moreirra almaaruf kama Ronaldinho Dinho Gaucho.

DINHO...
Ni mchezaji aliyebeba La Liga, Champions League, kombe la Dunia pamoja na kuwa mwanasoka bora wa Dunia mara kadhaa...haya ni baadhi tu.

Dinho kwa nafasi yake ya kiungo amepata kuzisaidia timu alizopata kuchezea na kufunga magoli na kama huamini hilo mpk hivi ninavyoandika Mtakatifu Gaucho amefunga magoli 9 ktk serie A na kutengeneza magoli 14, na mengi kati ya magoli hayo yametokana na pasi inayojulikana kama ''briliant blind pas''...pasi ambayo duniani inapatikana kwa mtakatifu huyu tu.

Huu ni wastani mzuri kwa kiungo anayecheza kwenye ligi yenye mabeki wehu zaidi.

Ni wazi pia kuwa the saint ana spidi, chenga, pasi zenye upako, anauwezo wa kufunga, ana uwezo wa kupiga mipira iliyokufa, kupiga penati, hana hasira, na pia ni wazi kuwa hakuna mchezaji duniani mwenye uwezo wa kuuchezea mpira kwenye mechi kama mtakatifu huyu ambaye tarehe 21 mwezi huu wa 3 katimiza mwaka wa 30 tangu ashushwe.

Hivyo kama mtachagua mchezaji bora basi hao wa kwenu mnatakiwa muwatoe.
Ila kama mtaamua kuwataja ili mradi tu basi mnaruhusiwa kuwajumuisha na hao wenu wasioyajua mafanikio ya kimataifa wala radha ya kubeba kombe la dunia au radha ya kuwa mwanasoka bora wa dunia ni ipi.

Mwisho naomba hoja ijibiwe kwa hoja na si vioja kama wengi wenu mtakavyofumuka na ushabiki mahaba.

Forza Milan

mzee gang chomba.....
mimi binafsi top ten yangu ni STRIKERS tu sijaweka ya wachezaji wote,nadhani DINHO ni MIDFIELDER ambaye kwa wakati ule yuko barcelona alikuwa the best
 
Mheshimiwa Madaso,
Mi naomba nifanye marekebisho kidogo katika mtu huyu niliyemuekea rangi nyekundu, anaitwa IBRAHIMOVIC na sio kama ulivyoandika. Unaelekea kumtaja tajiri wa watu, wenyewe watakuja juu! Hilo tu.
Asante mkuu naomba radhi kwa wale waliokwanza na hilo viva IBRAHIMOVIC
 
kaka uko sahihi,
Rooney ni striker mzuri.....lakini Messi is more than a striker,more than a footballer,Messi is out of this world...........

Natumai atakuwa fit ili kwenye Kombe la Dunia atuonyeshe Walimwengu wapenda kandanda uwezo mkubwa alio nao katika kutandaza soka.
 
Top 10 yangu ni hii-TOP 10 STRIKER
  1. Leo Messi
  2. Wayne Rooney
  3. Gonzalo Higuain
  4. David Villa
  5. Fernando Torres
  6. Didier Drogba
  7. Christiano Ronaldo
  8. Diego Milito
  9. Carlos Tevez
  10. Samuel Etoo

Hawa top ten strickers wako ni kwenye ligi,michuano ya kimataifa au the way you see them playing ?...vigezo vipi umetumia Mkuu?.. !.

96931435.jpg.4363_display_image.jpg


Gonzalo-Higuain.jpg

Gonzalo Higuain
97172367.jpg.1521_display_image.jpg

Ronaldinho

97172297.jpg.31867_display_image.jpg

Alexandre Pato

94023264.jpg.19699_display_image.jpg

Samuel Eto'o
96356261.jpg.1997_display_image.jpg


Didier Drogba
95528037.jpg.8793_display_image.jpg

David Villa
94178337.jpg.27660_display_image.jpg


Fernando Torres

94023943.jpg.8044_display_image.jpg

Zlatan Ibrahimović

97173213.jpg.7147_display_image.jpg

Wayne Rooney

96067570.jpg.4922_display_image.jpg


Lionel Messi
96756731.jpg.4868_display_image.jpg

Cristiano Ronaldo
 
player- goals

WAYNE ROONEY- 33
MESSI -30
DROGBA -28
RONALDO -22
HIGUAIN -22
DAVID VILLA -23
TORRES -18
PATO -14
ETO'O -10

Kwa magoli waliyofunga msimu huu, MESSI,ROONEY,RONALDO,HIGUAIN na DROGBA wanastahili kuwa top five strikers.
 
Huyu kipindi chache kilishapita hana nafasi tena ni nani kama Messi!

Unaweza kusema kipindi cha Gaucho ni lini?
Kwa taarifa yako Gaucho ni kama mate mdomoni, huwa hayakauki.

Wewe unayesema saint Gaucho wakati wake umepita je msimu huu umemuona?
Nimejaribu kukupa takwimu zake za msimu huu na nadhani kawazidi wachezaji weengi sana ambao wewe kwa kukurupuka kwako unaweza kuwaweka juu ya the Saint.

Tazama msaada wa Kaka ndani ya Merenguez
Kisha tazama msaada wa The saint ndani ya Diavorri.

Tazama msaada wa Robinho kwa klabu zake kisha tazama msaada wa Dinho..

Hapa utagundua kuwa kuna vichezaji vingi sana kavizidi...ila tu vichezaji hivi vinapigiwa chapuo kwa kuwa tu viko ktk timu ambazo ligi zao zinatazamwa kila kukicha.

Na cha mwisho cha kukusaidia ni kuwa swala la The Saint kujumuishwa ktk timu ya Brazil itakayokwenda south ni swala la kidunia na si kitaifa.

Dunia nziiima inataka Dinho aende south, na miongoni mwao ni wewe unayesoma hapa.

Forza Milan
 
Unaweza kusema kipindi cha Gaucho ni lini?
Kwa taarifa yako Gaucho ni kama mate mdomoni, huwa hayakauki.

Wewe unayesema saint Gaucho wakati wake umepita je msimu huu umemuona?
Nimejaribu kukupa takwimu zake za msimu huu na nadhani kawazidi wachezaji weengi sana ambao wewe kwa kukurupuka kwako unaweza kuwaweka juu ya the Saint.

Tazama msaada wa Kaka ndani ya Merenguez
Kisha tazama msaada wa The saint ndani ya Diavorri.

Tazama msaada wa Robinho kwa klabu zake kisha tazama msaada wa Dinho..

Hapa utagundua kuwa kuna vichezaji vingi sana kavizidi...ila tu vichezaji hivi vinapigiwa chapuo kwa kuwa tu viko ktk timu ambazo ligi zao zinatazamwa kila kukicha.

Na cha mwisho cha kukusaidia ni kuwa swala la The Saint kujumuishwa ktk timu ya Brazil itakayokwenda south ni swala la kidunia na si kitaifa.

Dunia nziiima inataka Dinho aende south, na miongoni mwao ni wewe unayesoma hapa.

Forza Milan

Heshima kwako Gang Chomba,

Kupenda wakati mwingine unaweza kuonekana kama chizi.Nakumbuka nilikuonya sana ulipokuwa unaipigia debe AC Milan kwamba watawafunga Manchester ukaamua kuweka pamba masikioni leo unakuja jamvini kumtetea mchezaji aliyepitwa na wakati.Dinho amepitwa na wakati kumpeleka SA itakuwa kosa kubwa kuwahii kufanywa na Brazil,tumwache abaki AC Milan na wachovu wenzake.
 
Mkuu Belo
Je, kazi ya ukocha ulisomea wapi? Naona una kipaji kikubwa, pengine itakuwa vizuri zaidi umsaidie kibabu Fergi maana mwaka huu mambo junguluka ... ....
Mkubwa Fergie mbona msimu huu huenda akaendelea kuwatesa kina Wenger sijui akiondoka tutapata wapi mrithi wake
 
Belo nakuheshimu sana.
Na sikutegemea kama kuna siku utakuja kujivua nguo hapa JF.

Nimesikitishwa sana na Top 10 yako mkuu. Kuna mtu hujamjumuisha humo.

Huyo mtu anaaminika kuwa alishushwa toka mbinguni ili atuonyeshe soka la huko linavyochezwa.

Pia inaaminika kuwa endapo anakuwa uwanjani akicheza basi malaika huko juu wanaacha shughuli zao na kuburudishwa na vitu vya huyu bwana.

So tafadhari Belo omba radhi na urekebishe kikosi chako.
Mkubwa sifikirii kwa sasa kama Ronaldinho anastahili kuwa kwenye top 10 kwa sasa
Tunaomba utupe top 10 yako
 
Spanish Inquisition: Lionel Messi - Are We Watching The Greatest Player In History?

Goal.com's Cyrus C. Malek asks whether we are bearing witness to unequaled greatness in Barcelona's Lionel Messi...



Mar 22, 2010 11:09:00 AM



http://www.google.com/reader/link?u...layer In History?&srcURL=http://www.goal.com/

64030_news.jpg
-



Yes. But for those few doubters, I herein present my case:

Throughout the pages of time we have been treated to some of the greatest players to grace a football pitch. These players are widely regarded as heroes, the closest we have come to realising our childhood dreams of Superman, Spiderman, or Batman.

So exceptional are their exhibitions of extraordinary talent and skill that they have been elevated to legendary status as fathers nostalgically tell their sons where they were in 1958 when a 17-year-old Pele deftly flicked and then volleyed home against Sweden or in 1986 when Diego Maradona wove through the England national team. They make seasoned defenders who have devoted their lives to becoming lauded professionals at their respective positions look like nothing more than panicked children - and not just once or twice, but with stunning regularity.

Maradona, Pele, Di Stefano, Beckenbauer, Platini, Baggio, Cruyff, and many more players whose last names alone are sufficient in jogging fond memories were, without a doubt, legends of their time. But fuelled by the power and riches of global commercialisation, the modern age of football now boasts defenders that are bigger, faster, stronger, more skilled, and more tactically intelligent than those that faced players of even 10 or 15 years ago. Today, players are developed from every end of the earth and the football talent pool has become an ocean of players who have become much more specialised in their trade. One wonders if such last names would have been so easily recognised in today's game.

Today we have our own legends - contemporary idols the likes of Zinedine Zidane, Ronaldo, Thierry Henry, Ronaldinho, Kaka, Wayne Rooney, and Cristiano Ronaldo who have climbed to the height of footballing glory. But while there is no denying what these players have contributed in their careers in making football look like a beautiful dance, there is one player who, despite only being 22 years old, is beginning to tower above them all.

Ironically, that towering figure was originally thought to be too small for competitive football because of a growth hormone deficiency. Standing at just 1.69 m (5 ft 7 in), Barcelona's Lionel Messi has become the face of footballing legend. Where Zeus was the god of the sky, Poseidon the god of the sea, Hades the god of the Underworld, and Apollo the god of the sun, the ancient Greeks, given the choice of players in history until today, would have chosen Messi as their God of football.


92561_hp.jpg

El Mesias: A God amongst men

You and I are witnessing history. With a style that initially elicited a likeness to Maradona but has now become all his own, Messi is unstoppable. In dribbling, the ball seems tethered to his boot as he manages to zig-zag through defences and cut past players with his patented stop-start bursts of acceleration, creating and exploiting space that no one else on the pitch or in front of the television can see or could have imagined. His low centre of gravity, long thought to be his biggest flaw among defenders far stronger than he, has become his biggest asset, as despite his stature, he is nearly impossible to catch off balance and acquit of possession.

Once he gets going, the little Argentine leaves opposing defenders, and for that matter opposing fans, with their hearts in their throats and little more than their prayers that he not score. Bamboozling defenders left and right and wrong-footing keepers, it is a wonder Messi has not broken an ankle of those who try to keep pace with his trickery.

There are a number of players who demand the marking of at least two defenders and the attention of an entire defence. Cristiano Ronaldo consistently elicits panic in a backline when the ball is at his feet. In the Premier League, just two years after the record was set, Manchester United's Wayne Rooney is on pace to break Ronaldo's mark of 42 goals in a season. But anyone who has seen Messi play, regardless of team partiality, cannot help but admit that 'La Pulga' is operating on a plane all his own.

Winning third, second, and then finally first last year in the Ballon d'Or voting, Messi's ascension to the very top of the world stage has been well documented. Few can forget his reproduction of Maradona's 1986 Goal of the Century in the Copa del Rey semi-final against Getafe three years ago when he was just 19 years old at the time. Dispelling any doubt of his ability to perform in big matches, Messi iced the Champions League final last season with a goal against Rooney and Ronaldo's Manchester United... on a header no less.

64040_hp.jpg

Messi mesmerises the Getafe defence

This season, the number one player in the Castrol Rankings has continued to score decisive goals, giving Barca their sixth consecutive title at the Club World Cup with his goal in extra time. In La Primera, he is the Pichichi (leading scorer) and in the past seven days, he has scored eight goals. If he continues at the same pace in the remaining 11 La Liga fixtures that remain in the season, he will shatter Hugo Sanchez/Telmo Zarra's Primera record of 38 goals in a season.

But what makes Messi definitively better than all his contemporaries and all that came before him is not just what he does offensively, but what he does in defence. When coach Pep Guardiola arrived at Barca, he told his Argentinean star, "You are already the best player in the world with the ball – now you must be the best without it".

The extra work has yielded exponentially great returns. Aside from scoring goals and ravaging defensive schemes, Messi can be seen sprinting all over the pitch in defence, the first to blaze forward to pressure opposing goalkeepers, defenders, and midfielders, and even backtracking deep into his own half to harass forwards in an effort recover possession for his team. All around, there is no player on the planet like Lionel Messi and his teammates seem to agree.

Just one week ago, after Messi scored a hat trick to crush Valencia's hopes of taking away points from a well-fought match, Blaugrana goalkeeper Victor Valdes voiced his admiration for his small-in-stature teammate. "Messi is already the best player in the world, but he could become the greatest footballer in history", said Valdes. Yesterday after Messi scored his second consecutive La Liga hat trick against Zaragoza, Barca president Joan Laporta declared that Messi was the best of all time. "He is the best player in the world and in history. Along with Cruyff and Maradona, he is the best Barca has ever had", said the supremo.

While one does not become the best in history in the course of a single week of hat tricks, Valdes and Laporta's declarations are no less credible. The simple objective truth is that given his age, skill, personal accolades, and team trophies, Messi is very much near or at the top of footballing history.

However, there is one element that keeps Messi's unchallenged claim as the best footballer in history in question: World Cup glory. Some attribute his inability to perform with the Argentina national team to a lack of supporting players that he has at Barcelona, some attribute it to a change in position, and some chalk it up to Diego Maradona's ineptitude as a coach.

92456_hp.jpg

Messi on a mission to conquer the world

Whatever the case may be, Messi has been unable to make the same impact for his country as he has very firmly stamped with his club. In what is rumoured to be an attempt to expose him to a variety of positions so that he can adapt to different roles with the Albiceleste, Guardiola has given Messi more responsibility at Barca than his customary right-wing role, playing him as a centre striker, on the left, and even as a midfielder.

To cement his place as the best footballer to have graced the face of planet Earth, Messi must lead Argentina team to a World Cup title. Whether he does that this summer in South Africa, when he is 26, or when he is 30 remains to be seen. But for a player of such immeasurable talent, it can only be a matter of time before he puts the final piece in place and achieves unparalleled glory - and all of it with a boyish grin and humble praise for his teammates.

With the vast sums of money spent on scouting new talents, more and more often are reports coming to light that tout a youngster to become the next Maradona, the next Pele, the next Zidane, the next Ronaldo (both the Brazilian and the Portuguese). But at just 22 years old, we haven't even begun to see the next Messi. The ‘Messishow' is just getting started and when it is done, it will go down as the greatest in footballing history (if it has not done so already).

Prepare your television recorders; players like Messi come once in a lifetime and your children will want to see that which we have the luxury of enjoying firsthand today.



http://googleads.g.doubleclick.net/...1138714610918520&adurl=http://www.eco2tz.com/
 
Kuna magoli Messi anafunga nje ya penalty box,hapigi mashuti makali but precision ya shots zake ni za hali ya juu,this boy is so talented
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom