Lini wataachia internet tupige mishe mitandao ya jamii?

Lini wataachia internet tupige mishe mitandao ya jamii?

Sijaona sababu ya kufungia internet au Kuna tatizo, maana kwani mbona watu wanawasiliana na taarifa zinafika.
Au Kuna chenchi wameacha kwa wananchi au Kuna nini?
Imefungiwa kwa maslai ya Uma au Kuna tatizo?
Upo kwenye mikono salama, mitandao inahatarisha afya za watz
 
Google service haifanyi kazi pamoja na sms international and hazifiki, Sasa Mimi mawasiliano yangu ni Kwa internet, kutumia sms au call siwezi na namba za simu hazifiki Tatu, niliformat simu halafu kwenye laini nilisave namba 1 tu, hapa hata kuingia play store siwezi.

Kama nipo gizani.
Utakula ulikopeleka mboga...
 
Upo kwenye mikono salama, mitandao inahatarisha afya za watz
Sasa hakuna namna nyingine mpaka wafunge au Kuna tatizo, watu wanapata hasara mamillioni na billion Tena wanalipa Kodi wanategemea hiyo mitandao halafu unatoa statement ya kirahisi hivyo itakua haujui kuhusu teknologia
 
Sasa hakuna namna nyingine mpaka wafunge au Kuna tatizo, watu wanapata hasara mamillioni na billion Tena wanalipa Kodi wanategemea hiyo mitandao halafu unatoa statement ya kirahisi hivyo itakua haujui kuhusu teknologia
Hizo hasara zenu hazina impact kwa tabaka tawala, poleni sana
 
November 2025!

Kodi haina vyama!

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Back
Top Bottom