Changes boy
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 552
- 363
- Thread starter
- #61
Poa wengine tunasubiri tu hatuna haraka, hatulipi kodiMakampuni yameridhika
Poa wengine tunasubiri tu hatuna haraka, hatulipi kodiMakampuni yameridhika
Hatuhitaji vikodi vyenuPoa wengine tunasubiri tu hatuna haraka, hatulipi kodi
Bro mbona povu, usilete uchama kwenye Uzi zangu pleaseHatuhitaji vikodi vyenu
Tanzania ya kijani ina pesa za kutosha
Wasanii Wanaingiza hela sehemu nyingi Sio YouTube tuHaya sasa wasanii walokuwa wanashindana kwa viewers kule mjini YouTube watuambie wiki hii nani anatrend huko...
Kwenye Uzi wangu usiweke Mambo ya chama itakua hauna akili kutumia mgongo wa chamaHuu ndio uchumi wa kati Mazee
CCM mbele kwa mbele Wahanga ni wote wapenda ccm na wasio ccm acha tuisome namba na huu ni mwanzo tu
Huo ni ubaguzi kampeni zimeishwa futa ccm Tumia TanzaniaHuu ndio uchumi wa kati Mazee
CCM mbele kwa mbele Wahanga ni wote wapenda ccm na wasio ccm acha tuisome namba na huu ni mwanzo tu
Sizungumzii suala la kuingiza hela hapa...Nazungumzia suala la kushindana viewers....Elewa kwanza siyo kukurupuka tu kujibu.Wasanii Wanaingiza hela sehemu nyingi Sio YouTube tu
Serikali ya ccm ina haribu nchi.Badili ISP wako wa sasa jaribu ISP zote zilizopo nchi, kuna moja ama mbili utazikuta ziko safi.
Mbaya zaidi ukute ulipigia ccm kuraGoogle Service haifanyi kazi pamoja na Sms International and hazifiki. Sasa mimi mawasiliano yangu ni kwa internet, kutumia sms au call siwezi na namba za simu hazifiki Tatu. Niliformat simu halafu kwenye laini nilisave namba 1 tu, hapa hata kuingia play store siwezi.
Kama nipo gizani.
Sema serikali ya Tanzania, Mambo ya chama sioni Kama Yana nguvu serikalini
Views ndio moja ya hela za YouTube zinavyotumika kulipa kwa Tanzania 1 dollar=1000 views kwa mweziSizungumzii suala la kuingiza hela hapa...Nazungumzia suala la kushindana viewers....Elewa kwanza siyo kukurupuka tu kujibu.
Usiwe na wasiwasi, ni juhudi za awamu ya tano na ya sita, hata wasiporudisha hakuna shida, ni mwanzo tu wa maisha mengine yasiyoeleweka ndani ya miaka mitano ijayoGoogle Service haifanyi kazi pamoja na Sms International and hazifiki. Sasa mimi mawasiliano yangu ni kwa internet, kutumia sms au call siwezi na namba za simu hazifiki Tatu. Niliformat simu halafu kwenye laini nilisave namba 1 tu, hapa hata kuingia play store siwezi.
Kama nipo gizani.
Ukute nilihudhuria hila sikuchagua mtu, nilidumkiza Bila kujaza🤣😁
Mi napata mitandao yotee kuanzia google but fb tu insta nimeanza kuipa tangu juzi na whatsap but fb tu siipati sasa tatizo sijui nini coz wengi hawapati instaKuingia kwenye account ya Google haikubali sababu Google+ ni social network kwa hiyo unagoogle tu Ila kuingia hata Gmail hauwezi na VPN no, ni haramu halafu sipendi kuweka app ya nje ya playstore zinakuaga na mianya kwa wahalifu wa mitandao kuingia kupitia huo mwanya