ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,579
- 44,821
Aisee hapa Lindi mvua mwaka huu imeamua inanyesha kila siku yaani kila kunapokucha tuko nayo ukifua nguo kwenye mvua hizi za kusi basi zitakauka Kwa siku tatu.
Oya upo lindi sehemu gani mitwero msinjahili sabasaba wailes rutambaAisee hapa Lindi mvua mwaka huu imeamua inanyesha kila siku yaani kila kunapokucha tuko nayo ukifua nguo kwenye mvua hizi za kusi basi zitakauka Kwa siku tatu.
Lindi mjini Lindi Beach kata ya mtandaOya upo lindi sehemu gani mitwero msinjahili sabasaba wailes rutamba
Nisalimie mama kiduku (mama ntilie) hapo ndani stendi lindi.Lindi mjini Lindi Beach kata ya mtanda
Kule chooni kwenye vi grocery?Nisalimie mama kiduku (mama ntilie) hapo ndani stendi lindi.
Mtanda kwa MkuploLindi mjini Lindi Beach kata ya mtanda
Mtanda karibu na Kwa mama Salma KikweteMtanda kwa Mkuplo
Yeah, huko huko mkuu........unawakuta wenyewe wametulia wanapiga msosi si mchezo🤮🤮🤮Kule chooni kwenye vi grocery?
Oya upo lindi sehemu gani mitwero msinjahili sabasaba wailes rutamba
Nimeishi Lindi kwa miaka 5, nimetoka huko mwaka 2024 Feb
Nilikua naishi Wailes, karibu na Zima Moto, Kula sana watoto wa Lindi, bar za maana Linid ni Mitefuni,Pari na GRM, Hapo ndiyo kuna mademu wakutosha.... Mitwero na kule kwa Mama Salma ndiyo sehemu ya kidon
Pale Stand ya Mkoa ni pachafu hatari, kuna Grocery zipo pale ndani ndani,watu wanakunywa beer na vyoo vya pale stand vinatoa harufu kali....
Raha zipo Masasi na Mtwara... Lakini sio Lindi, Nachingwea wala Liwale
Yaan hapo ndo mjini, kijijini kukoje sasa!Poleni sana wakazi wa Lindi. ndege JOHN tupe updates hali ikoje. Barabara inapitika kuelekea Mtwara?
View attachment 2962290
Tushajua aisee. Sasa imekua balaa.Acha inyeshe ili tujue panapovuja.
Hata sifahamu. Tumuulize ndege JOHNYaan hapo ndo mjini, kijijini kukoje sasa!