Designer_3434
JF-Expert Member
- Dec 4, 2015
- 4,725
- 3,684
Pole
Daah! mimi ngoja niishie kumpa pole tu kwa sasa maana.Mbunge wa (CCM), Jimbo la Mtama mkoani Lindi Nape Nnauye, amepata ajali baada ya gari aina ya Land Cruiser VX yenye namba T 349 DEL alilokuwa amepanda kupinduka leo asubuhi Septemba 24, 2018 katika kijiji cha Kibutuka, akiwa safarini kuelekea wilaya ya Liwale kushiriki kikao cha Kamati Kuu ya siasa mkoa wa Lindi.
Mwandishi wa Azam News mkoani Lindi, John Kasembe amesema hakuna madhara makubwa yaliyotokea kwa waliokuwa ndani ya gari na nje ya gari.
Ameeleza kuwa Nape Nnauye alikuwa njiani kwenda kuungana na ziara ya Katibu Mkuu wa CCM Taifa, Dr Bashiru Ally anayezuru wilayani Liwale mkoani Lindi.
Hii ni mara ya Pili kupata ajali akielekea Lindi. Zaidi soma=>Nape Nnauye apata ajali Kilwa, alikuwa akitokea Dar kuelekea Lindi - JamiiForums
View attachment 876040View attachment 876041View attachment 876042
Dah kumbe nawe uliona zile mbao na nails za inchi 4??Pole sana Nape, kachinje kuku umshukuru Mungu. Tusingependa kukuona kwenye zile mbao za jana zilizounganishwa na misumari eti zinaitwa majeneza.
Au makreti ya kusafirishia samaki na nyama toka buchani!!yale majeneza ya jana ukiyaangalia vibaya unaweza kudhani vikabati vya wakaanga chips.....R.I P our beloved ones!!!!
Kwani anatokea ukanda gani hapa Tz???Vipi na yeye Helikopita imeshafika kumchukua au atasafilishwa na bombadia kwenda Muhimbili
He must have gone this time. Why did he escape this one?Nahesabu,ikifika mara 3 mtaniambia.
VX tena....Zingatieni speed limit.