Lindi: Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye apata ajali akiwa safarini kuelekea wilaya ya Liwale

Mbunge wa Mtama (CCM) Mh. Nape Nnauye amenusurika kifo katika ajali asubuhi hii iliyotokea mkoani Lindi.
Alikuwa akielekea Liwale katika ziara ya Katibu Mkuu wa CCM (Taifa).
Hakuna madhara makubwa yalitokea na Uchunguzi unaendelea kubaini chanzo cha ajali hiyo.
Habari zaidi zitaletwa hapo baadae.
 
Ashukuriwe Mungu kwa kuwa amemwokoa kwa mara nyingine tena katika ajali hiyo ya barabarani

Tujikumbushe kidogo kuwa Nape aliwahi pata ajali mbaya sana kipindi kile cha kuelekea kwenye uchaguzi Mkuu mwaka 2015
 
Ona wachawi. Mpo wwngi wala hamtafutwi. We chama chako Kama kina wanachama Kama wewe basi hmtakuja kushika dola mpka mfe. Kaongozeni somalia ambapo mila za kiutu hazipo
Kumbe wanaowapiga risasi raia wasio na silaha ni wasomali! Asante kwa kunijulisha kuwa wasomali pia wameajiriwa polisi.
 
Mkuu uko kitengo gani, cha uokoaji ama wewe ni mvuvi?
Maiti za maji mara nyingi ziko ktk shape kutapatapa. Na zinaharibika haraka sana once ikishatolewa majini. Hivyo salama ni kuzika haraka na kwa kisiwa kidogo kama UKARA majeheneza ya kistaarabu huwezi kupata . Hata kama ni kuagiza Mwz huwezi kupata majeheneza 250 kwa mara moja.

Hivyo tuwaache wapumzike kwa amani. (RIP) by the way mie mkokozi
 
Dah...Pole mtoto wa Kimakonde. Uwe unasafiri na dereva bana...kwa hadhi yako muda wa kulenga madaraja umepita...:cool:
 
Umepata second chance ya kuendelea kuishi nape uwe makini barabarani au ajiri dereva
 
Mbunge wa Mtama (CCM) Mh. Nape Nnauye amenusurika kifo katika ajali asubuhi hii iliyotokea mkoani Lindi.
Alikuwa akielekea Liwale katika ziara ya Katibu Mkuu wa CCM (Taifa).
Hakuna madhara makubwa yalitokea na Uchunguzi unaendelea kubaini chanzo cha ajali hiyo.
Habari zaidi zitaletwa hapo baadae.
Hivi mnajua maana ya kunusurika kifo?
 
Back
Top Bottom