Burn the bridge _Tz
JF-Expert Member
- Apr 15, 2021
- 2,259
- 6,630
Institute of financial management (IFM)Upo chuo gani
TEKUUpo chuo gani
Hauna mchango. KwaiyoBoom ni 600k, toa 156k kulipa deni la boom advance toa Kodi, toa chakula toa nauli toa book na stationary...!!
Kifupi namaliza chuo sina hata mia, na sio mia tu sina hata business idea.
Natamani kulia natamani kucheka
Hapa itabidi nijitahidi kukwepa hili deni la boom advance nakwepaje wakati unakata mfumo??
Umezinywea?Boom ni 600k, toa 156k kulipa deni la boom advance toa Kodi, toa chakula toa nauli toa book na stationary...!!
Kifupi namaliza chuo sina hata mia, na sio mia tu sina hata business idea.
Natamani kulia natamani kucheka
Hapa itabidi nijitahidi kukwepa hili deni la boom advance nakwepaje wakati unakata mfumo??
Mkuu pole sana, Jitahidi tu hata ubakiwe na nauli ya kurudi nyumbani ama nauli ya kufukuzia michongo kwa muda utakaosalia hapo ulipoBoom ni 600k, toa 156k kulipa deni la boom advance toa Kodi, toa chakula toa nauli toa book na stationary...!!
Kifupi namaliza chuo sina hata mia, na sio mia tu sina hata business idea.
Natamani kulia natamani kucheka
Hapa itabidi nijitahidi kukwepa hili deni la boom advance nakwepaje wakati unakata mfumo??
SawaMkuu pole sana, Jitahidi tu hata ubakiwe na nauli ya kurudi nyumbani ama nauli ya kufukuzia michongo kwa muda utakaosalia hapo ulipo
Wewe si ulikuwa unakula Bata unavuta shuka kumekuchaBoom ni 600k, toa 156k kulipa deni la boom advance toa Kodi, toa chakula toa nauli toa book na stationary...!!
Kifupi namaliza chuo sina hata mia, na sio mia tu sina hata business idea.
Natamani kulia natamani kucheka
Hapa itabidi nijitahidi kukwepa hili deni la boom advance nakwepaje wakati unakata mfumo??
πππ kumbe ndio huyu!Sasa jana unatuzungusha mara mtu anatuma kwenye account ya CRDB dili linaangaliwa na wengi ataniona mbabaishaji.
Kumbe ni bodi ndio wanatuma na utakatwa boom advance.
Binti ukiwa mrembo hata hilo boom unaweza usilitumie.Halaf kipind hiki mnapewa boom pesa ndefu mim nimelaliza chuo account Nina million 2 cash niseme ukwel nilijivunia maisha yangu binafsi chuo bila kua na hekaheka niseme ubahili nao ulinisaidia