Limbwata na faida zake

Limbwata na faida zake

kiukweli wanaume wengi hawaelewi nini kinachomfanya msichana atafute mtu mwengine wa kumkidhi haja zake pale anapohisi mume hamkidhi kimapenzi wavulana wengi wamekuwa na mawazo yakuwa kufanya mapenzi mara kwa mara kama vile wanvofanya majogo kila dakika ndio amekuwa bingwa ukweli kuna mengi katika kufanya mapenzi na kufikia msichama aridhike kuwa na kichwa kikubwa haina maana unaakili nyingi


Mkuu mimi naomba unimegee kidogo ya hayo mengi ya kumfanya aridhike mbali na kufanya mapenzi mara kwa mara ambayo ndo STRENGTH yangu kuu. Nitoe ushamba!
 
Mkuu mimi naomba unimegee kidogo ya hayo mengi ya kumfanya aridhike mbali na kufanya mapenzi mara kwa mara ambayo ndo STRENGTH yangu kuu. Nitoe ushamba!

Kuna tofauti kati ya haya maneno mawili "KUFANYA MAPENZI" na "kufanya mapenzi mara kwa mara"
 
Nilisikia zamani vijiweni, limbwata ni nyama iwekwayo ukeni (kwenye K) kama siku nzima!! Halafu inatolewa ikiwa almost fermented na inapikwa na kupewa muhusika. Ukiisha ila tu, husikii huambiwi, mkeo anaweza amua kucheat mzee wala huoni, hata mkeo akileta njemba nyumbani huelewi unakuwa umepumbazwa fulani. Mzee wa kushinda ndani na msuri........binafsi siamini mambo haya....ila kwa kuwa yanasemwa huenda yapo....
Mkuu naitaka hiyo....mpaka udenda umenitoka.......
 
Quote:
Originally Posted by Shapu View Post
Mkuu mimi naomba unimegee kidogo ya hayo mengi ya kumfanya aridhike mbali na kufanya mapenzi mara kwa mara ambayo ndo STRENGTH yangu kuu. Nitoe ushamba!



Mkuu inaonekana wewe bado una ile imani kwamba kumsugua mwanamke sana ndio kumridhisha eeh..watu sikuzi hawasugi bwana, wanatekenya na kumumunyuma kisimi kama peremende bwana, ukikinyonya kile vizuri inavyotakiwa hata dk tano haziishi mwenzako taabani..kama wewe ni kati ya wale wanaojifanya kwenda chumvini ni unhelthy (not hygiene) usilalamike mwenzako akienda nje kutafuta burudani bwana
 
Quote:
Originally Posted by Shapu View Post
Mkuu mimi naomba unimegee kidogo ya hayo mengi ya kumfanya aridhike mbali na kufanya mapenzi mara kwa mara ambayo ndo STRENGTH yangu kuu. Nitoe ushamba!



Mkuu inaonekana wewe bado una ile imani kwamba kumsugua mwanamke sana ndio kumridhisha eeh..watu sikuzi hawasugi mkuu, wanatekenya na kumumunyuma kisimi kama peremende bwana, ukikinyonya kile vizuri inavyotakiwa hata dk tano haziishi mwenzako taabani..kama wewe ni kati ya wale wanaojifanya kwenda chumvini ni unhelthy (not hygiene) usilalamike mwenzako akienda nje kutafuta burudani
 
utatofautishaje limbwata na mapenzi ya kweli ya mtu bila ya hilo limbwata?
manake kuna wengine wanawapenda wake zao na wako tayari kwa lolote juu yao.wako tayari kuwafulia,kuwapikia nk lakini sasa wanaofanya hivi mara nyingi wanaonekana ni watu wa limbwata tu wakati siku hizi kuna wanaume wanakwenda mbali zaidi na kuona umuhimu wa kusaidiana na wake zao katika shughuli mbalimbali hata zile ambazo zinaonekana ni za kinamama tu.
na hata kina dada nao wakishaona hivi basi watakwenda kwa shoga zao kusimulia eti nimemshika haruki wala hakukuruki.anapika,ananifulia,akitoka lazima aage nk nk na nyie kina dada kwanini waume zenu wanapowaonyesha mapenzi ya namna hii mnawaona ni wajinga,mmewawekea limbwata?
 
Hakuna iyo kitu sijui kipande cha nyama wala nini, Limbwata ni ufundi wa mw'mke katika kumridhisha mwanamme kwenye tendo la ndoa na kumuonesha kuwa anampenda, Hilo ni somo kamili wanalofundishwa wasichana na Wataalamu (makungwi) zaidi sehemu za mikoa ya pwani. Ukimkuta mwanamke aliefaulu vizuri katika hili darasa ndio unachanganyikiwa kabisa!! Na hapo ndio watu huona sio bure umelogwa!!
Nakupa mfano: Umerudi kutoka kazini unakuta maji ya moto umeshaekewa bafuni, unabembelezwa ukaoge kuondoa machovu, umepelekwa bafuni na sweety anakukanda-kanda mgongo kwa maneno laini, pole honey nyingi!!, unasafishwa mpaka you know what!
Unarudi chumbani khanga zimebaki kwenye hanger zimekolea Udi, chumba kizima kinanukia harufu nzuri, kitanda kimetandikwa nadhifu kabisa, honey anakwambia muende sebuleni mukapate dinner, kawaida Honey huwa hatii msosi peke yake lazima akusubiri, Msosi unaukuta motomoto hata kama ulichelewa kurudi, Msosi umepikwa na una ladha nzuri.
Munakula na kupiga stori za siku ilivyokwenda, unamaliza mama anakuletea maji ya moto, taulo na sabuni anakunawisha na mikono. wakati wa kulala umewadia Sweaty anafunga buku na shughuli pevu kwa utaalamu wa aina yake, anashika mike na manjonjo yote anakumaliza na hii inakuwa ni desturi ya kila siku!! Bwana eeeh wee acha tu!!
Hapo ndipo watu watasema ooh sijui umewekewa Limbwata.
 
Nilisikia zamani vijiweni, limbwata ni nyama iwekwayo ukeni (kwenye K) kama siku nzima!! Halafu inatolewa ikiwa almost fermented na inapikwa na kupewa muhusika. Ukiisha ila tu, husikii huambiwi, mkeo anaweza amua kucheat mzee wala huoni, hata mkeo akileta njemba nyumbani huelewi unakuwa umepumbazwa fulani. Mzee wa kushinda ndani na msuri........binafsi siamini mambo haya....ila kwa kuwa yanasemwa huenda yapo....

Je, kuna tofauti ya yule aliyelishwa nyama iliyowekwa kwenye nanino na yule ambaye analick nanino kwa mapenzi yake mwenyewe ili kumfurahisha mamsap wake au yeye mwenyewe kupata maspeed?
 
Nilisikia zamani vijiweni, limbwata ni nyama iwekwayo ukeni (kwenye K) kama siku nzima!! Halafu inatolewa ikiwa almost fermented na inapikwa na kupewa muhusika. Ukiisha ila tu, husikii huambiwi, mkeo anaweza amua kucheat mzee wala huoni, hata mkeo akileta njemba nyumbani huelewi unakuwa umepumbazwa fulani. Mzee wa kushinda ndani na msuri........binafsi siamini mambo haya....ila kwa kuwa yanasemwa huenda yapo....

...heri mie Vegetarian! ...watanipatia wapi? unless bilinganya na bamia nazo 'zinalimbwatisha!'
 
Ndo manake, hapo ni kitu chochote wangu...lol!
Chatine.jpg
...napenda sana pilipili, tena hiyo inayoitwa 'mbuzi',...akiweza iweka huko, ni radhi kuila, maana atakuwa kweli kanidhamiria 😀
 
lol..sina mbavu.kuna vichwa vimepinda huku JF.

limbwata ni chochote kinachomfanya mume/bf kudata na kurudi for more
 
...napenda sana pilipili, tena hiyo inayoitwa 'mbuzi',...akiweza iweka huko, ni radhi kuila, maana atakuwa kweli kanidhamiria 😀

Ikiwa haijapasuka wangu, naisokomezea tuu. Tena hiyo ndo itakuwa inanipa na advantage ya pili kupasha K yangu moto...ufikapo mlangoni, unapokelewa na joto kali la nyuzi gredi sijui ngapi hivi! Utaacha kudata tuu. Bahati yako sikujui, ungesahau S.L.P ya kijijini kwenu.
 
Aksante sana kwa information, acha tujaribu mwaya...

---------------------------------------------------------------------
Careful dadangu, na hayo majaribio unayotaka kuyafanya. Kama kweli, narudia tena... kama kweli hiyo wanayo sema kuwa ni LIMBWATA is true... basi huwe makini sana na unachotaka kukifanya.

Kuna story niliwahi kusikia, kuna dada alifanya hayo ya kuyafanya (JUJUz 'o' LIMBWATAz) I don' know... Matokeo yake siku hiyo bwana akachelewa kurudi nyumbani... chakula kikashambuliwa na Pakaz akishirikiana na Panyaz.
Matokeo yake nyumba ikawa haikaliki kwa Panyaz na mapakaz... yaani ni vurugu tupu kwa kwenda mbele ndani ya nyumba. Huku Minyau...! Nyau...! nyauu...! akigeuka huku... swii..! swii..! swii..!

-----------------------------------------------------------------------


Ninavyo fahamu mimi kulinganisha na taarifa nilizo nazo nilipokuwa kikazi Kule Kilwa, kinacho fanyika ni kutafuta aina za mbegu/majani sina uhakika kama ni MIRONGE au lah. (Nakumbuka niliwahi kuonyeshwa huo mti... ni maarufu sana kule. Pia huweza kutumiwa kama mboga, bila kuchanganywa na hivyo vinyama vya chini).
Kisha wanachanganya na hivyo wanavyo fichanganya. Kinacho tengenezwa hapo ni aina ya sumu yenye kuathiri mfumo wa fahamu. Yaani muathirika anakuwa hawezi kufikiri na kutoa maamuzi yeyote yale....! Athari yake inaweza kuonekana dhahiri katika mwenendo wake mzima kiutendaji.

Muhathirika aliye lishwa hayo madawa hata kama ni muajiliwa hujikuta utendaji wake wa kazi unadorola na huweza hata kufukuzwa au kuachishwa kazi.

Be warned

 
Je, kuna tofauti ya yule aliyelishwa nyama iliyowekwa kwenye nanino na yule ambaye analick nanino kwa mapenzi yake mwenyewe ili kumfurahisha mamsap wake au yeye mwenyewe kupata maspeed?

I guess same effect!
 
Last edited:
Back
Top Bottom