Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,894
- 155,916
Asante sana kwa kuonyesha moyo huo.......msiba haupo Dar, upo Arusha (Karatu). Nitakavyozidi kupata taarifa ndivyo nitakavyoendelea kuwaletea, ili kama kuna members waliopo huko waweze kuhudhurua ili kumfariji mwenzetu
Hi!Wapendwa wa jukwaa hili pendwa la MMU,
Ningependa kuchukua fursa hii kuwajulisha kwamba, mwenzetu Lily Flower amefiwa na kaka yake wa kuzaliwa.
Tukiwa kama rafiki zake, ndugu zake, tuungane nae katika msiba huu, tukimuombea moyo wa uvumilivu wa kuweza kukabiliana na wakati huu mgumu uliopo mbele yake kwa sasa.
Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi
Amen.
Wapendwa wa jukwaa hili pendwa la MMU,
Ningependa kuchukua fursa hii kuwajulisha kwamba, mwenzetu Lily Flower amefiwa na kaka yake wa kuzaliwa.
Tukiwa kama rafiki zake, ndugu zake, tuungane nae katika msiba huu, tukimuombea moyo wa uvumilivu wa kuweza kukabiliana na wakati huu mgumu uliopo mbele yake kwa sasa.
Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi
Amen.