crankshaft
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,410
- 3,376
Kwa mujibu wa biblia, Mara baada ya yesu kuondoka duniani, kanisa la kale kabisa walitumia mali zao kwa pamoja.
Yaani mfano una kiwanja chako,unauza pesa Zote unapeleka kanisani.
Hapa ndio kuna kisa Cha anania ambae alikufa kwa kosa la kuweka pembeni mali yake ambayo ilipaswa kutumika na kanisa.
Huu utaratibu uliishia wapi?
Yaani mfano una kiwanja chako,unauza pesa Zote unapeleka kanisani.
Hapa ndio kuna kisa Cha anania ambae alikufa kwa kosa la kuweka pembeni mali yake ambayo ilipaswa kutumika na kanisa.
Huu utaratibu uliishia wapi?