Kaveli JF-Expert Member Joined Dec 4, 2012 Posts 5,467 Reaction score 9,007 Mar 14, 2022 #61 Lilian Internet... yuko wapi huyu mrembo? -Kaveli-
Kanali G JF-Expert Member Joined Oct 21, 2013 Posts 9,897 Reaction score 14,447 Mar 29, 2022 #62 Huyu na Rose Ndauka wanaupenda miziki lakini muziki hauwapendi
mwandende JF-Expert Member Joined Feb 16, 2017 Posts 11,415 Reaction score 21,549 Apr 27, 2022 #63 Sky Eclat said: Kweli wakati ukuta, Lilian kiuno hakizunguki kama zile zama. Click to expand... Aisee!! Nakumbuka. [emoji441][emoji441] [emoji443][emoji443] Mingoi,,,,Mingoi,[emoji443][emoji443] kamera,,,,kamera [emoji441][emoji441], nilimfinyia sh 10,000/= kwenye pindo la chupi, Anex bar miaka ya 2006, Mtoto alinikalia mapajani akapiga mauno kama mjusi kakatwa mkia. Leo amekuwa na kiuno kigumu kama sterling ya FIAT(mbaula). Kweli kila Jambo na wakati.
Sky Eclat said: Kweli wakati ukuta, Lilian kiuno hakizunguki kama zile zama. Click to expand... Aisee!! Nakumbuka. [emoji441][emoji441] [emoji443][emoji443] Mingoi,,,,Mingoi,[emoji443][emoji443] kamera,,,,kamera [emoji441][emoji441], nilimfinyia sh 10,000/= kwenye pindo la chupi, Anex bar miaka ya 2006, Mtoto alinikalia mapajani akapiga mauno kama mjusi kakatwa mkia. Leo amekuwa na kiuno kigumu kama sterling ya FIAT(mbaula). Kweli kila Jambo na wakati.