Lile bao la jana! VAR" ya Chumbani

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
371,704
Reaction score
861,050
Mshkaji alisherehekea bao la kwanza kwa mbwembwe nyingi akimbia uwanja mzima wakati demu anadai "VAR" iangaliwe kwa sababu bao lilikuwa la "offside" maana kwa lilidumu sekunde chache tu.. au mchezaji alikuwa amezidiwa kasi.

VAR ikasema hilo "Bao la Mapema" ni sawa na timu kufunga ndani ya sekunde ya 30,, bao linapatikana.
Mashabiki wanabaki kusema kuwa huyo mchezaji ana " mapafu madogo" na anahitaji kufanyiwa sub ya haraka kabla kipindi cha kwanza hakijaisha.
 
VAR ikasema hilo "Bao la Mapema" ni sawa na timu kufunga ndani ya sekunde ya 30,, bao linapatikana.
Mashabiki wanabaki kusema kuwa huyo mchezaji ana " mapafu madogo" na anahitaji kufanyiwa sub ya haraka kabla kipindi cha kwanza hakijaisha.
 
Lakini kumbe kati yetu kuna wenye Clean Sheet" ya Kudumu
hawa ni wale ambao hawajafunga bao kwa muda mrefu (wakataa ndoa). Inasemwa kuwa wao ni kama makipa stadi, wameweka clean sheet mwaka mzimaโ€”si kwa kupenda, bali kwa kukosa washambuliaji wa kupambana nao.
 
Wazee wa . "Bao la Pili"
bao la kwanza ni la "mwenye nyumba" (lazima lifungwe), lakini bao la pili ndilo linaloamua nani ni "bingwa" wa ligi. Hizi ni mbinu za "kupasha misuli" (warm-up) ili kurejea uwanjani baada ya bao la kwanza.๐Ÿ’ช๐Ÿฟ๐Ÿ˜‚
 
Kuchungulia "Matokeo"
Kuna wanaopiga kelele baada ya kufunga bao moja, huku wenza wao wakiwa wamekaa kama mashabiki waliolipishwa kiingilio kikubwa lakini hawajaona "burudani" yoyote uwanjani.๐Ÿ˜‚๐Ÿ™Œ๐Ÿฟ

Hivyo ni vituko vya bao la Jana๐Ÿ˜
 
Mshkaji alisherehekea bao la kwanza kwa mbwembwe nyingi akimbia uwanja mzima wakati demu anadai "VAR" iangaliwe kwa sababu bao lilikuwa la "offside" maana kwa lilidumu sekunde chache tu..View attachment 3570936 au mchezaji alikuwa amezidiwa kasi.
Safari ilianzia hapa
 

Attachments

  • FB_IMG_1775906779460.jpg
    13.8 KB · Views: 18
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ