Like faza like son

Like faza like son

utawajua tu hawajifichi mm nawambiaga mjini washamba hawaishi mmeona wenyewe huyu nae katokea wapi
 
Sikuiz wakubwa wachache wamekuwa mashosti na mashost wenye jina lao nao wamegeuka kuwa wachanga wadekao ndio maana wanatuonesha makalio yenye michilizi misula ilio chubuka wanja wa kinafki kama midoli iliyo na dhana ya shetani, tena hao hao ndio wanataka waitwe wazaz wema, wametanguliza ujinga mbele bila hata haya NA KUANZA KUDODOSA NILICHO POST? MNAISHI KWA MAZOEA? "JAMII PHOTO ni sehemu maalum ya kuweka picha sasa baadhi ya wehu na wendawazimu wao wanaish kwa mazoea kw kuwa hawaoni mtu kaweka picha ndio wanajifanya et wanajua sana kumbe ni wapumbav wasio na mfano, mimi sifanyi kile kinacho wapendeza ' mmesikia nyie baadhi?nafanya kile kilicho sahihi. Na UJINGA HUO PELEKA KWENU MAANA HUWEZ KUNIAMBIA NIPOST KILE AU NISIPOST HIKI lbda tu, jamii folium ikiwa ni ya mama yako hapo sawa pumbav kabsa.
 
Hahaha folium sio yetu ni yako. Dogo Acha kuvamia mambo ungejifunza kwanza wenzio wana post vitu gani. Alafu povu linakutoka kabisa yani
Wewe ni mjinga mmoja wapo hii ni jamii photo habar ya mimi kufuatilia kipi au kile huo ni utashi wako kama unaishi kwa mazoea endelea hvyo wewe kama wewe na huwez kuniambia kile ambacho unafanya wewe bac nami nifanye MPUUZ USIE TUMIA AKILI.
 
Mkeo Anaonekana Ana Damu Kali Sana Nisaidie # Ya Mkeo Kuna Jambo Kuteta Nae
 
kina nani hawa?
Acha unafk unamuuliza nani? Kwan huoni jina lake si umuulize yeye na una uliza wakina nani hawa? hii jamii folium ni ya baba yako pumbav acha kuish kwa mazoea unajiona uko peke yako sio.
 
siku ukifanikiwa kuandika vizuri ninaweza jifikiria kukujibu ! ngoja nikuache upambane na silabi
Acha unafk unamuuliza nani? Kwan huoni jina lake si umuulize yeye na una uliza wakina nani hawa? hii jamii folium ni ya baba yako pumbav acha kuish kwa mazoea unajiona uko peke yako sio.
 
Back
Top Bottom