yaani limenishtua tutasalimika kweli hukubebii, mbona kushangaa,
umeona ehee jimama limeingia, mi nilitegemea kuona picha za hayo mapozi
daaaaaaah
wengine tumeinvest humu aiseeBebii mkwara tu ushaanza 'gwaya'...akiweka picha si utaomba 'ban'!
kweli mwenzanguBebii inabidi mkae kikao,
mashine imeshaingia kama hujashika chako vizuri shauri yako
Si kawaida yangu lakini.... naomba picha yakohodi nimeingia kwa fujo nipokeeni