Ligi Kuu Vodacom, Raundi ya VI

Ligi Kuu Vodacom, Raundi ya VI

Simba na Mtibwa pekee ndio hazijapoteza mchezo wowote hadi sasa!
 
Ila ushabiki tukiweka pembeni, tukitaka mpira uendelee nchi hii tuanze na Viwanja
 
Mimi nashangaa watu wamepigwa mti ukaingia vilivyo Kaitaba lakini wanakata kiuno droo na aliyewatungua 2 mtungi.
 
Ndanda wamejitahidi kukaza makalio
Hata hivyo azam ndo walikuwa wanaomba mpira uishe manake hawa wamakonde wa mtwara si mchezo,,, lambalamba imeyeyushwa hapa nangwanda-Mtwara, Mtwara kucheleeeee
 
Wakuu hapa Kambarage no DK ya 35 kipindi cha pili. Matokeo bado moja moja
 
hongera ndanda fc umenifariji na matokeo mabaya kule kwenye uwanja unaofanana na eneo la mafunzo ya mgambo au jeshi, unaokwenda kwa jina la kaitaba
 
Mimi nashangaa watu wamepigwa mti ukaingia vilivyo Kaitaba lakini wanakata kiuno droo na aliyewatungua 2 mtungi.

Acha matusi Mkuu, mpira hauchezwi kwa cross multiplication! Simba ilitoa sare na Prisons na Stand United lakini wote hao walipigwa bao na Yanga! That is Football Mkuu. Hongereni kwa sare yenu kama kawaida.
 
Sisi hatufukuzi kocha kama unanunua sidiria.
Naona phiri na maximo hawapo mbali kufuata nyao za mwenzao denis kitambi wa ndanda fc ya Mtwara......maximo unaipeleka wapi yanga wewe mzee!!!!! wapi pluijm????
 
Naona phiri na maximo hawapo mbali kufuata nyao za mwenzao denis kitambi wa ndanda fc ya Mtwara......maximo unaipeleka wapi yanga wewe mzee!!!!! wapi pluijm????

Wote hawafiki hata katikati ya msimu.
 
Ndanda 1 vs 0 AzamFC Jacob Masawe alifunga Dk ya 17 baada ya kupokea pasi kutoka kwa Paul Ngalema..

huyu mchaga huyu.. Mboni safoo masawweee
 
Hawa wazee wa droo noma.walianza chemka wwlivomtimua mzee kibadeni.alianza vizuri kuiandaa timu ya msimu huu wao wakawa na haraka.sasa wameanza kusimamisha wachezaji,wakimaliza wanawasimamisha viongozi wanachama wanaanza panga timu.poleni simba wenzangu.
 
Back
Top Bottom