Mbye site inakamata MKIA
Simba ina tofauti ya pointi mbili tu na walio MKIANI
Wakuu mbona jukwaa halina watu, naomba matokeo ya Mbeya City na Mgambo Shooting.
Swali hili kamuulize Evans Aveva atakujibu kwa ufasaha....Duh,SIMBA UKAWA wana nini tena?
naomba niwajulishe mashabiki wa mpira wa miguu kuwa timu ya simba bado haijafanya vibaya kwenye ligi mpaka hivi sasa haijafungwa ila azam yanga na mbeya city ndizo zilimefanya vibaya kwani point hawajaachana sana azam na yanga wamesha poteza point sita mbeya city point tisa ukiangalia city azam yanga ndizo wamefanya vibaya mwenye upeo mdogo atabisha kwa hayo
Ebu fafanua vizuri
simba point 6 mechi sita amepoteza 12
Azam point 10 mechi sita amepoteza point 7
Yanga point 10 mechi sita amepoteza point 7
sijui uelewa wangu ni mdogo hapo juu ulipoandika
Konaball, rage aliwabatiza mashabiki wa simba jina gani lile?..Nikumbushe
naomba niwajulishe mashabiki wa mpira wa miguu kuwa timu ya simba bado haijafanya vibaya kwenye ligi mpaka hivi sasa haijafungwa ila azam yanga na mbeya city ndizo zilimefanya vibaya kwani point hawajaachana sana azam na yanga wamesha poteza point sita mbeya city point tisa ukiangalia city azam yanga ndizo wamefanya vibaya mwenye upeo mdogo atabisha kwa hayo
Nanukuu 'MAMBUMBUMBU' mwisho wa kunukuu.