Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 17,023
- 13,370
Simba vipi wakuu??
Mmepata mlichozoea
Simba vipi wakuu??
Ushaanza uswahili wako!! Mbona wenzenu mikia wanamvumilia phili wao?Huyu naye apewe mechi 2 tu tuachane naye.
Simba vipi wakuu??
huyu kocha na wazungu wake mbona tutakoma!Tegete hajaingia tuu?
Timu yangu Azam vipi tena? Mmelewa sifa?
Bado mapema mkuu...tusiwe kama mikia
Ushaanza uswahili wako!! Mbona wenzenu mikia wanamvumilia phili wao?
ndio hivo mkuu timu inakasoro sio bure haiwezekani vichapo hafifu vituandame..Hawa walima korosho ndio wamekaza tu mpaka mida hii?