Sisi hatufukuzi kocha kama unanunua sidiria.Wewe siyo mwenzetu bhana, nanyi mpeni mechi 2 huyo Omog.
Azam wamepakatwa hapa Nangwanda na wamakonde wa mtwara, Mtwara kucheleeeeeeeeeeAisee msimu huu ntakonda balaaa... #ComeOnAzamfc
Tumechoka na msimu uliopitaAisee msimu huu ntakonda balaaa... #ComeOnAzamfc
Kaitaba kugumu
Mpira umemalika hapa Nangwanda ndanda 1-0 azam
Kaitaba dk ya ngapi..
Kaitaba dk ya ngapi..
Hapo tumeshalala! Maximo atafakari njia zake, ataimbishwa kale kawimbo: Kwetu pazuri nimeshapakumbuka!
Full Time: Kagera Sugar 1-0 Young Africans.
acha tu wamekataa goli wazembe hawa..Ndanda wamepiga bingwa mtetezi
Naona leo hatuchekani!
FULL TIME:
Kager Sugar 1-0 Yanga.
*KAITABA MPIRA UMEKWISHA*
DK ya 20 kipindi cha Pili bado moja moja