balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 16,513
- 15,152
Kwa hiyo wachezaji wa nje wanaipandisha ligi yetu au kwao walikotoka?Ulitaka Kizimkazi awe hapo sita? Huoni wakongo walivyojazana kwenye ligi yetu?
Leo tukitoa wachezaji wa nje hapa bongo hakuna mpira tunadanganyana tu