Kisa cha mwahija ushakileta humu mkuu?Baada ya purukushani za siku nzima, huwa najaribu kuifanya siku yenu iishe vizuri 😊
Sasa mi kosa langu nn?Wewe daily ni kunicheka tu 😅 😅. Pole yako haina mashiko
ndo naona leo mtani,vipi imefika mwisho
unakuwa ushakula raha , wacha wakunyooshe tu!Sasa hiyo ndio sababu ya kukufanya usiniambie pole? 😅😅😅 😅
Mwisho bado, mateso ya million 5 yanaanzando naona leo mtani,vipi imefika mwisho
Baba bahati msumbufu 😂😂😂[emoji1787]
🤣🤣🤣 awwwh umbea sunna, yani natamani ningekuwa jirani yako nipige deo kabisaUkiendekeza umbea litakukuta jambo shauri yako 😅 😅
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee uduguuu!![emoji1787][emoji1787][emoji1787] awwwh umbea sunna, yani natamani ningekuwa jirani yako nipige deo kabisa
acha ayalipie tu maana hakomiMwisho bado, mateso ya million 5 yanaanza
Sema huyo Mzee alishaonesha kukuzidi akili kitambo sana; sijui kwa nini ulihisi utamuweza.Yule Mzee alinifanya nikaondoka Dar bila kupenda.
Iliyoondolewa naiomba pm PLEASEBaada ya ile simulizi iliyopita kuondolewa jukwaani, niliahidi kuleta replacement yake. Baada ya kuangalia katika list ya ambazo nilishaanza kuandika, nimeona niweke hii.