Mshika Tester
Member
- May 3, 2020
- 38
- 35
- Thread starter
- #41
Mkuu kila upande una kanuni zake...upande wa Giza unakanuni zake na upande wa nuru una kanuni zake hakuna kitu kama fungu LA kukosa au fungu la kupata ...fata kanuni za upande uliopo kama upo upande wa nuru fata kanuni za huko hakika utaona matunda ya kazi yako.
Hakikisha humuibii Mungu zaka na sadaka ya mapato yako ...katika kila jambo mtangulize Mungu usizitegemee akili zako nae atakunyooshea mapito yako....kanuni ya kupokea ni kutoa hakuna mchawi katika hilo... Na kila jambo na wakati wake trust the process.
Naamini upande wa Mungu ni bora zaidi. Asante sana kwa busara zako.