Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,508
- 203,233
mid 20s 😂
Au wanishauri nichukue mshangazi?
Au wanishauri nichukue mshangazi?
Na ubaya huwa wanalaumu na kuwatukana wale walioshindwa kwa kutumia reference ya enzi zao bila kujua kuwa, ni kukosa kwao maono ndiko kumesababisha haya yoteYeah, walioishi kipindi kazi zikitafuta wat(80s na early 90s) hawawezi kuelewa.
😂 wanasema kwanini ujenge na una uwezo wa kulipia kodi bila kusumbuka?Kuhusu kujenga huwa naona watu wanajibana sana, kwanini ukimbilie kujenga?? Mimi binafsi huwa sioni sababu ya kujenga mapema, labda nitajenga nikiwa hapo kwenye 40 - 45. Ukishayapangilia vyema maisha yako around 27 - 30 ukajua either nahitaji kuwa na familia au la, nahitaji kujenga nikiwa na 40 yrs au la, Career yangu ni hii au la etc then maisha yako ukiwa 40 yrs natumaini yatakua matamu sana
Well said mkuu kuna nilivyong'amua hapa nitavipa kipaumbeleNiko 77 na ndiyo kwanza kunakucha huniambii kitu ng'wanawane 😁💪
Hizi ni perception za jamii tu ili pengine kuwatia hamasa na kuwaasa walioko huku nyuma wasikakawane kwenye nira za ujana bali wamakinikie zaidi kuanza maandalizi mapema maana ukifika huko 40+ hata process nyingi za mwili zinaanza kukuwashia indiketa kuwa sasa tunahama kwenye msimbo wa ujana na tunaingia kwenye utu uzima sasa.
Hii ni sawa tu na ile perception kwamba eti binti akivuka miaka 30 hajaolewa basi jua lake jema na lililong'aa sana hapo nyuma sasa linaingia machweoni. Na kuna mabinti wasiojitambua ambao kweli wakivuka 30 na bado hawajaolewa wala kuwa na familia wanapaniki badala ya kutulia na kuwekeza katika wao kama wao. Hata katika hili wapo wengi tu wanaofikia hiyo 40+ huku ramani za maisha bado zipo zigzag wanapata sonona hasa wakijilinganisha na waliosoma nao ambao wanakuwa wameshapiga hatua kubwa.
Binafsi kama ningeambiwa leo hii muda urudishwe nirudi huko kwenye 40s kitu pekee ambacho ningekirekebisha ni kuutunza mwili na kujali afya yangu sana. Nisingekunywa mipombe kupindukia na minyama choma hii. Japo ukiwa kijana huwezi kuona madhara yake, ukivuka 45 huku ndiyo sasa utaona kosa ulilofanya - na hapo kama una bahati hujapata presha, kisukari, matatizo ya figo, magonjwa ya moyo na ishu zingine kibao.
Miaka ya 40....kijana linda sana afya yako. Kila kitu kifanye in moderation (ikiwemo ulaji wa mbususu). Mengine yote ni madogo tu hasa kama unajitambua.
Hint: Usijilinganishe na classmates wako. Hypertension itakuhusu 😁😁🚶🏿♂️🚶🏿♂️🚶🏿♂️🖐
View attachment 2760494
Mambo ni yale yale tumid 20s 😂
Nimekuelewa BossSijasema at 46 umezeeka, ila wanasema umri huo upo katikati ya lifespan yako, nguvu na akili zipo kwenye peak yake.
Tatizo ni kujipanga hasa ukiwa kijana, kuna vitu vya msingi mtu anatakiwa kuviangalia ili mambo yasije kuwa mengi katika umri fulani.
Imagine upo 40s, umebarikiwa watoto watatu, wote wanaenda shule na wana mahitaji yao ya msingi huwezi kuwanyima. At the same time kuna majukumu ya familia yako na yake, then unaishi kwa kupanga, unafanya mchakato wa kujenga. Katika situation ya namna hiyo, crisis unaikwepaje?Kuhusu kujenga huwa naona watu wanajibana sana, kwanini ukimbilie kujenga?? Mimi binafsi huwa sioni sababu ya kujenga mapema, labda nitajenga nikiwa hapo kwenye 40 - 45. Ukishayapangilia vyema maisha yako around 27 - 30 ukajua either nahitaji kuwa na familia au la, nahitaji kujenga nikiwa na 40 yrs au la, Career yangu ni hii au la etc then maisha yako ukiwa 40 yrs natumaini yatakua matamu sana
😀 😀 😀 Kuna mahali nimeweka pesa za mtoto wangu + mafao yangu ni yake, kuhusu mke nilisha decide sina plan ya kuwa na mke. Nikikata moto ghafla i hope sitaacha migogoro duniani😂 wanasema kwanini ujenge na una uwezo wa kulipia kodi bila kusumbuka?
Ila je, ukijakata moto ghafla, utaachaje mke na watoto?
hata 40 bado mbali lakin naona kama mwakan nafikiakoSawa sawa na ukikaribia 70/80 utaongeza hadi 100 nani anataka kufa?

I think hii inawahusu walio na ndoto za kuoa na kua na watoto watatu, Mimi binafsi sina plan ya kuwa na mke, mtoto mmoja tu ananitoshaImagine upo 40s, umebarikiwa watoto watatu, wote wanaenda shule na wana mahitaji yao ya msingi huwezi kuwanyima. At the same time kuna majukumu ya familia yako na yake, then unaishi kwa kupanga, unafanya mchakato wa kujenga. Katika situation ya namna hiyo, crisis unaikwepaje?
acha uroho mkuu... Inatakiwa kidume ukifa watu wagombanie mali... Sio msiba mtu unakufa wanahudhuria watu 20😀 😀 😀 Kuna mahali nimeweka pesa za mtoto wangu + mafao yangu ni yake, kuhusu mke nilisha decide sina plan ya kuwa na mke. Nikikata moto ghafla i hope sitaacha migogoro duniani
af wanagawana nguo
Aaah sio uanaume banaaa...😀 😀 wakishagombania hizo mali ndio unafufuka?acha uroho mkuu... Inatakiwa kidume ukifa watu wagombanie mali... Sio msiba mtu unakufa wanahudhuria watu 20af wanagawana nguo
Aaah sio uanaume banaaa...
hapana kwakwelUmejiandalia makazi? Ukijijua unapopakufikia?
ndio maana kadri ninavo mature naona nilikua nawaza utoto
Ukajiombee mkuu wangu, ukiwaachia kazi ya kukuombea, watakuimbea yakuharibikie, udhalilike🤣Maneno "life begins at 40" yana maana kuwa mtu akifika umri wa miaka 40, maisha yanakuwa bora zaidi, labda kwa sababu tayari mtu keshapata skills, experiences na namna bora ya kuyafurahia maisha. Msemo huu ulitungwa na mwanafalsafa Pitkins na umejipatia umaarufu mkubwa hapa duniani.
Katika kusomasoma kwangu nimekuja kufaham kwamba kumbe kuna watu wakifikia 40 wanapata hofu ya maisha(hapo hata mimi nikaanza kuwa na hofu), wanahisi uzee unakuja, ujana unaondoka, vile walivyokuwa wakiyafurahia maisha kama kujirusha, kula ujana vyote vinapotea ghafla.
Tunapoingia umri huu wa 40+, tunaanza kujitambua zaidi, kutambua thamani yetu zaidi na kutojali maisha na mawazo hasi ya wengine. Na hapa ndio hoja inapokuja, kwamba kwa mwafrika wa kawaida je ni kweli kwamba life begins at 40? Maana yapo mengi sana tunafatiliana, mtu kaacha yake anasumbukia ya jirani ili mradi tu amuumize au apate furaha kumuona mwenzake anaumia.
Wanasema at 46 life is at the peak, yaani kumbe ukifika 46 ndio umefikia peak ya maisha yako, baada ya hapo ile graph inaanza kushuka taratibu hadi upigwe chepe. Na wengine wanasema ukifika 40+ unatakiwa uwe tayari umefikia malengo yako kwa asilimia 90, kuzaa, kulea, career, kujenga, kusomesha...
Sasa je, nini kinaleta midlife crisis?
Kwa nini katika umri huo mara nyingi tunasemwa kuwa we're going through midlife crisis?
Je, ni kwa sababu huenda hatujafikia malengo yetu ya kimaisha na hivyo kufanya maisha kuwa na ukakasi?
Imagine katika umri huu:
● Huna mke/familia(very optional)
□ Watoto wadogo hawajaanza hata chekechea(kina sie).
● Hujawa na sehemu ya kujibanza(kijumba).
○ Hujawa stable career wise, bado unajitafuta.
Ni lazima kichwa kiwake moto, lazima stress levels ziwe juu na usipoangalia unaweza kupata sonona.
Msije na hoja ya maokoto tu.
Happy Sunday, mtuombee sie wakosefu!!
😀 😀 wakishagombania hizo mali ndio unafufuka?
hapana... Unajua hatujui kuzimu kupoje... Sasa unapokufa unaacha madeni badala ya mali... Unaenda kutana na kitu usichokitegemeanasubir nikue kue kwanz labda akili itakomaa nabadili mtazamoNdio utajiua?