Life begins at 40 Vs Midlife crisis

Life begins at 40 Vs Midlife crisis

Hii kauli ya life begins at 40 ni ya wazungu. Mtu kibao wanapata kazi wakiwa na miaka 36. Sasa anajipangaje na kutimiza yote ndani ya miaka 3?
Bongo kwenye 50 years ndio unaiona ramani ya maisha yako very clear.

Chini ya hapo ni ubatili mtupu, unaweza kula Bata miaka mitano then miaka 6 Msoto mkali.
 
Ni kweli Maisha yanaanza 40, umri huo unategemewa uwe umejiandaa na uzee, umeshawekeza, unamalizia malizia vitu vidogo vidogo ili ukifika 50 upumzike ule mafao, uenjoy maisha yaliyobaki, ujiandae na magonjwa na jinsi ya kupambana nayo.

Ukifika 40, bado huna ramani lazima hofu ikuingie, uwe depressed na wengi huanza kukata tamaa kwa kujihisi ndio basi, kumbe 40 inakupa last chance ya kupambania kujiandalia 50 yako.

Wito wangu kwa vijana tupige kazi bila kuchoka, fainali uzeeni.
Mafao yatoke wapi asilimia 60 hata hiyo ajira awana😭😭😭
 
Bongo kwenye 50 years ndio unaiona ramani ya maisha yako very clear.

Chini ya hapo ni ubatili mtupu, unaweza kula Bata miaka mitano then miaka 6 Msoto mkali.
Halafu mleta mada anatupigia porojo za Ulaya hapa! Mpk 30 inagonga ndiyo anakumbuka kwenda kupanga chumba. Kuja kupata kiwanja 40 hii hapa. Mpk 50 inagonga nyumba haijapigwa plasta
 
whats wrong with that?

naona mentality fulani hivi ya kijinga kutegemea watoto waje wakutoe,which is like stealing from other people

tafuta mawe ya ajabu ukistaafu jiwe ni refu mno,kusomesha na wewe kula mpaka ufe

hizi story za eti "nachelewa" kuzaa nani atanitunza ni mentality za nchi masikini sana kama zetu
Ni kweli Mkuu, cha msingi wekeza ili watoto wasipate shida ukiwa haupo Duniani.
 
Huna akili, wapi nimesema nisomeshewe?

Punguza bangi, na kunywa damu mbichi ya mnyama vinakufyatuwa akili unakuwa kama zuzu.
Na hapa hereunder ulikua unasema nini?

Wakati wa Nyerere tulisoma bure kwenye shule za umma pamoja na Watoto wa mawaziri

Yaani wewe unaona mfumo wa "kusomeshwa bure" na serikali ndio mfumo sahihi wewe uzae tu usifanye kitu sababu serikali inakusomesha bure?

Hili neno BURE ndio exactly linaonesha una mentality ya kufeli!

Exactly my point!
 
Mkuu,unazaa at 20's hela umetoa wapi ya kulea mke na watoto katika middle class level?

Hela huna,kazi umepata ila bado ni hela ndogo

Hivi unawaleaje watoto na huyo mwanamke?

Hapo medical care ya uhakika,makazi bora,vyakula bora,mavazi,shule bora za International,magari,etc huna tusidanganyane ndugu!

Kama unawalea kiuswahilini unaweza zaa hata ukiwa na 15years na ukaweza

Ila mimi kulea au kuishi na my offsprings kwa level za kiswahili nilizotoka mimi haiwezekani

Formula ni fupi tu,tafuta mawe marefu,jenga misingi imara ya biashara au kazi throughout your 20's then your 30's you can afford any lifestyle na bado usiishiwe maana misingi ni imara kupita maelezo

Huna misingi imara then una-add human beings misingi yote inakua sio imara

Na watoto sio mali yako,wewe ni wewe,kuwahi au kutowahi ni mtoto muhusika,wewe jitegemee mpaka ufe,mtoto hana uhusiano wowote kukusaidia wewe lolote maana nae atakuja kua na jukumu la familia yake yeye

Unaoa,huna hela,unazaa vitoto matunzo ya kiswahili,unakaa uswahili two rooms,unatombewa na huyo mwanamke kabisa maana huna muscles kuwaweka kwenye harrier,vitoto unavipeleka shule za kiswahili yale yale uliyopitia unawarudisha kule kule,where is the advancement?
Ahahahaha...ofcz mi sina maisha kivilee chief..watoto wangu wa 4...sikai nyumba ya kupanga...shule ya 1.2m kwa kila mtoto nina uwezo wa kupambana nazo..gari kwa ulimwengu wa leo ni nyenzo muhim ya kaz so hata sionagi big deal suala la mtu kumili usafir
 
Ahahahaha...ofcz mi sina maisha kivilee chief..watoto wangu wa 4...sikai nyumba ya kupanga...shule ya 1.2m kwa kila mtoto nina uwezo wa kupambana nazo..gari kwa ulimwengu wa leo ni nyenzo muhim ya kaz so hata sionagi big deal suala la mtu kumili usafir

Hahahahaa,nakuelewa!

Ila hizo ni za sasa unaweza

Nataka kujua ulipokua 20's,ada,matibabu,nyumba,etc ilikua ya high level hivi?

No way!

Ulikua unaokoteza

Ni wrong decision kuleta mwanadamu hapa duniani ukiwa unaokoteza!
 
Furahia kila siku Mungu anapokupa zawadi ya uhai.

Future na kesho yako iko mikononi mwa Mungu.

Kuna watu wana kila kitu leo jumapili familia zinakwenda kuwatembelea magerezani.

Ukiishi kama mpagani ndio utababaishwa na swala la umri.

Kwanza Bongo kwa kipato halali bila kufika miaka 50 plus hutoboi ng'oo utapata pesa ya kula tu na kuhifadhi matofali yasiibiwe.
Umeongea ukweli. Kiukweli kabisa kwa pato halali kwa kundi kubwa hapa bongo bila 50+ hutoboi
 
Na hapa hereunder ulikua unasema nini?



Yaani wewe unaona mfumo wa "kusomeshwa bure" na serikali ndio mfumo sahihi wewe uzae tu usifanye kitu sababu serikali inakusomesha bure?

Hili neno BURE ndio exactly linaonesha una mentality ya kufeli!

Exactly my point!
Wewe ni chizi siyo bure, hata sasa shule za umma elimu bure.

You're listening too slowly.
 
Hahahahaa,nakuelewa!

Ila hizo ni za sasa unaweza

Nataka kujua ulipokua 20's,ada,matibabu,nyumba,etc ilikua ya high level hivi?

No way!
😂😂😂
Sasa kwa sis wapambanaji huwez kwepa kuokoteza wakat unajitafuta.
Unajua nini, there is no perfect enviroment kwa mpambanaji so hupaswi kusubiri maana hakuna siku mazingira yatakua sawa kwa 100%. Hivyo basibsikua na sababu ya kusema nisubiri nipate pesa ndio nizae maana kadir unavyo ongeza kipato na ndio matumiz yanaongezeka
 
Wewe ni chizi siyo bure, hata sasa shule za umma elimu bure.

You're listening too slowly.
Unaona maPhD mnavyopaniki?

Mzee baba,umesema system ndio mbaya maana zamani mlisoma buree,nikasema hili taahira linadhani lizae serikali ilisomeshee BURE?

Jipange huko,zaa wanadamu wasomeshe maana umewaleta wewe kwa hiyari yako,usitegemee kodi zetu zisomeshe utombaji wako!

Kila mtu ajitegemee!
 
I Think maisha huwa yanaanza kuonekana yako speed pale unapoanza kupata watoto. Because, hapo ndo huwa tunaanza ku calculate umri.

Mfano umepata mtoto wa kwanza at 35 yrs as a man unapiga hesabu kuwa on average hadi amalize form six ni 19 yrs. So ukijumlisha na 35, unakuwa na 54yrs, tayari ndo unastaafu at 55. Hapo bado hajaenda chuo.
Na hapo hujapata wengine. Hiyo ndo inafanya kichwa iwake moto kabisaaaa
Hio ni kwa walioajiriwa. Sisi tuliojiajiri hio haiko applicable. Tunachokifanyabni kuhakikisga una uwekezaji mzuri ambao utawezesha hayo mambo hata ukiwa at 60s. Ni kuvuta kibunda na ku clear. Hata ukifa ukawaacha watoto hawajamaliza chuo, hakikisha unaandaa wosia mapema, miradi utakayoicha itawafanya waishi vizuri. Kwetu, kuzeeka au kufa sio kukatika kwa mirija ya wanaotutegemea.

Huwa namzoom sana Model wangu KRIS LUKOSI, na wale mabinti zake. Kiukweli si wakuwa kama watu wa umri wake walivyo na watoto wakuwa. Ila jamaa kashaandaa mazingira mazuri hata asipokuwepo mambo yatasonga tu. Sasa si lazima uwe wealth kama yy hata ukiwa na miradi yenye thamani ya robo tatu tu, inatosha sana. Kikubwa wapambanaji wenzangu tuendelee kuwekeza uzee unakuja.
 
Kwamba ukifika 40 sio ndio unahangaika kutafuta mtoto, au ndio unahangaika Kujenga nyumba, au ndio unahangaika kutafuta kazi, au ndio unahangaika kufanya biashara, Ni kwamba ukifika 40 uwe umefika hatua ya kustaafu na kuchukua pension na kuanza kula kiinua mgongo chako yaan ukifika 40 ndio unaanza kula mafao ya kile umekipambania tangu ukiwa na Mwaka 1 hio ndio maana ya life begins at 40

Angalia wacheza mpira TU miaka 35 Gari liko hoi wengine 30 tu tayari pancha wengine wakina Ronaldo ndio wanakomaa hadi 38 Ila ndio hivyo akifika 40 Gari linaenda kupaki mazima haendelei km Ibrahimovic ambae ana 41 Ila bado anapiga kabumbu
Kwa sisi wafanya biashara ambao tunaitumabpesa ikalete tesa. Hakuna kustaafu wala kiinua mgongo. Ni kuweka misingi imara ya biashara zetu tu. Tukigoga 50 ni kusoma email za vijana tu sisi tukiwa mombasa na totoz
 
wanasema kwanini ujenge na una uwezo wa kulipia kodi bila kusumbuka?

Ila je, ukijakata moto ghafla, utaachaje mke na watoto?
Sifa ya mwanaume ni kuwa na mji wake sio kupanga. Ukifa ukaacha familia hakikisha unaacha na mji nyumba yako. Hio ndio alama itakayoishi kuwa pale ni kwa marehemu flani.

Nipo kwenye ujenzi japo nime fail kupaua🥲
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom