The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,355
- 17,320
Hija kwamba ndio maana kazi za usalama hazitangazwi ni hoja ya kijinga tu na iko Tanzania pekee huo ujinga.
Hii imewapa nafasi watu kupachika watoto wao na ndugu zao kwa kigezo eti kazi hazitakiwi kutangazwa.
Hii pia imepelekea ccm kujaza wapambe wao usalama kwa sababu za kijinga kama hizo.
Duniani kote kazi hizo hutangazwa kama kazi nyingine lakini waajiriwa hawatangazwi kujua yupi ni yupi.
Hii imewapa nafasi watu kupachika watoto wao na ndugu zao kwa kigezo eti kazi hazitakiwi kutangazwa.
Hii pia imepelekea ccm kujaza wapambe wao usalama kwa sababu za kijinga kama hizo.
Duniani kote kazi hizo hutangazwa kama kazi nyingine lakini waajiriwa hawatangazwi kujua yupi ni yupi.