Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,520
- 2,091
Liana Mbaga amefariki dunia usiku wa kuamkia jana 05.09.12 msiba wake upo nyumbani kwao Sinza jirani na Meeda Bar, mwili wake utaagwa leo Ijumaa 07.09.12. saa 7 mchana. Liana alikuwa anamsaidia Baba yake Mzee Namnani kuendesha Hotel zao.