lf you cant marry her, dont make her a mother

lf you cant marry her, dont make her a mother

Jamani kama mtu unajua kumuoa huwezi, usimzalishe, sasa utakuta MTU anakuambia nimezaa nae ila simuoi, ina kera, una kuta mdada mzuriii afu kazaa hana mume, ndo anaishia kudanganya sijawahi zaaa , kwenda zako uko ...

Ukweli ni kwamba mimba za aina hii huingia bila kupangwa
 
Jamani kama mtu unajua kumuoa huwezi, usimzalishe, sasa utakuta MTU anakuambia nimezaa nae ila simuoi, ina kera, una kuta mdada mzuriii afu kazaa hana mume, ndo anaishia kudanganya sijawahi zaaa , kwenda zako uko ...
Haupo sahihi,nani yupo responsible katika kuhakikisha mwanamke hazalishwi? Kwa nini mwanamke usisingatie kalenda wakati wa kujamiiana? Amua kuzaa ukiwa tayari ndani ya ndoa otherwise inakula kwako,
 
Jamani kama mtu unajua kumuoa huwezi, usimzalishe, sasa utakuta MTU anakuambia nimezaa nae ila simuoi, ina kera, una kuta mdada mzuriii afu kazaa hana mume, ndo anaishia kudanganya sijawahi zaaa , kwenda zako uko ...

Hivi mwanamke yeye hana usemi katika ndoa?

Manake ulichoandika kina presume kwamba kisa tu mwanamke kazaa na mwanaume basi huyo mwanaume akiamua kumuoa huyo mwanamke, yeye huyo mwanamke atakuwa hana usemi zaidi ya kukubali tu

Sasa kwani mwanamke hawezi kuzaa na mwanaume halafu asitake kuolewa naye?

Male chauvinism is still rife in the 21st century!
 
Ndoa zipo chache siku hizi, dili ni kuzaa tu ili mtoto wako baadae asije kukuita babu au bibi, bhaas!!
 
Jamani kama mtu unajua kumuoa huwezi, usimzalishe, sasa utakuta MTU anakuambia nimezaa nae ila simuoi, ina kera, una kuta mdada mzuri halafu kazaa hana mume, ndo anaishia kudanganya sijawahi zaaa, kwenda zako uko.

Aiseee....!! Kumbe huwa wanazalishwa?? Si walishirikiana wote katika tendo, tena mwanamke akakata na maunu kwa bidii zote na kilio cha uwongo juu!!
 
Aiseee....!! Kumbe huwa wanazalishwa?? Si walishirikiana wote katika tendo, tena mwanamke akakata na maunu kwa bidii zote na kilio cha uwongo juu!!

Ahaaa mkuu mambo ya rider style.
 
Jamani kama mtu unajua kumuoa huwezi, usimzalishe, sasa utakuta MTU anakuambia nimezaa nae ila simuoi, ina kera, una kuta mdada mzuri halafu kazaa hana mume, ndo anaishia kudanganya sijawahi zaaa, kwenda zako uko.

na yeye nini kilimfanya aachie kabla hajaolewa??? na waache kutegesha ili waolewe!!!
 
Sema haki ya Mungu.

Nikimkuta kijana amesimama na binti yangu katika mazingira hatarishi, lazima parapanda Italia.

Kama amesimama na mtoto wa rugemalila?
Nadhani utamwambia kijana endelea kuwa na binti yangu lakini itakuwa busara kufuata utaratibu(in polite voice)
 
Haya ni maisha kila jambo linaweza kututokea. Kiukweli nalichukia sana hili neno ''Kujikuta''

Kwa upande mwingine tuwafikirie hawa wenzetu... Kama ni good time, umfanye ajue hivyo, kama ni matarajio ya ndoa ajue hivyo.. kama hujui pia mweke wazi. usimwaminishe binti wa watu kuwa utamuoa then unakuja kumgeuka mwishowe.

Nimejifunza pia siku hizi kutokana na kiu (desperation) ya ndoa kwa wadada wengi... wanaume wanatumia hio ahadi ya ndoa kama chambo cha kuwapata mabinti. Binti zangu kuweni makini sana zama hizi ni za uovu.

Na ukikuta ameshampa mimba?
 
Sema haki ya Mungu.

Nikimkuta kijana amesimama na binti yangu katika mazingira hatarishi, lazima parapanda Italia.

Inategemea amesimama na nani.kama amesimama na mtoto wa rugemalila?
Nadhani utachokifanya ni kumpa akaunti namba yako ili aingize hela ya mahari.
Then unawaacha waendelee na yao
 
Haya ni maisha kila jambo linaweza kututokea. Kiukweli nalichukia sana hili neno ''Kujikuta''

Kwa upande mwingine tuwafikirie hawa wenzetu... Kama ni good time, umfanye ajue hivyo, kama ni matarajio ya ndoa ajue hivyo.. kama hujui pia mweke wazi. usimwaminishe binti wa watu kuwa utamuoa then unakuja kumgeuka mwishowe.

Nimejifunza pia siku hizi kutokana na kiu (desperation) ya ndoa kwa wadada wengi... wanaume wanatumia hio ahadi ya ndoa kama chambo cha kuwapata mabinti. Binti zangu kuweni makini sana zama hizi ni za uovu.

Kudos,great advice.
 
Hahahahaaaa mkuu IFRS kwani watoto wa Ruge wana stika usoni? ntaenda kumtambua alikua wa Ruge huko juu mawinguni kama tukibahatika kwenda njia moja. hahahahahaa... Its a a big challenge kulea now days. SO God help us.
Kama amesimama na mtoto wa rugemalila?
Nadhani utamwambia kijana endelea kuwa na binti yangu lakini itakuwa busara kufuata utaratibu(in polite voice)
 
Last edited by a moderator:
Sema haki ya Mungu.

Nikimkuta kijana amesimama na binti yangu katika mazingira hatarishi, lazima parapanda Italia.




hahaaa kama hujasimama na mabinti wa watu basi kheri ila kama uli .....vijana watam...... binti yako. natania mkuu
 
Back
Top Bottom