Wong Fei
JF-Expert Member
- Apr 13, 2016
- 5,509
- 7,263
kweli mkuu hata mm huwa ina nipain sana.Jamani kama mtu unajua kumuoa huwezi usimzalishe,sasa utakuta mtu anakuambia nimezaa nae ila simuoi, ina kera, una kuta mdada mzuri halafu kazaa hana mume, ndo anaishia kudanganya sijawahi zaa, kwenda zako uko.
Wanatupa kaz sana ss waoaji, unakuta dada keshaharibiwa (kafumuliwa malinda). Ss ndio tunaanza kutibu ugonjwa.
Siku hiz hata wanawake wanajua kuwa wanaume weng hawapend wanawake wwny watoto kwahiyo utadanganywa mpaka bac.
Ila kwa mtoto 1 afadhali mwingine watoto 2 au 3 kila mmoja na babake.
Km umezalishwa na umeachwa hebu kaa na mtoto huyo huyo 1 usiongeze.