Kumbe unapomtongoza nia yako inakua nini hasa .
May be wao beki hazikabi........:wacko:Hivi mwanamke yeye hana usemi katika ndoa?
Manake ulichoandika kina presume kwamba kisa tu mwanamke kazaa na mwanaume basi huyo mwanaume akiamua kumuoa huyo mwanamke, yeye huyo mwanamke atakuwa hana usemi zaidi ya kukubali tu
Sasa kwani mwanamke hawezi kuzaa na mwanaume halafu asitake kuolewa naye?
Male chauvinism is still rife in the 21st century!
Umesema kama mzee fulani duh haya mimi nitakua mtazamaji. Halafu najiuliza utajuaje wakati watakua wanafanya discussion pamoja.................
Sema haki ya Mungu.
Nikimkuta kijana amesimama na binti yangu katika mazingira hatarishi, lazima parapanda Italia.
Haki ya nani huu mkwara mzito lazima watu waje na mabaunsa tena mbaya zaidi mtoto mwenyewe awe mcute duh mbona utatembea na mguu wa kuku baba. Usiombe mwanao manjemba yawe yanamzengea bora usikie tuHahahahaaaa... ndio mikwara hio Bibie Ablessed. Navunja vunja na hizo meza kila kitu nini nini!!!!!(God forbid)
Jamani kama mtu unajua kumuoa huwezi usimzalishe,sasa utakuta mtu anakuambia nimezaa nae ila simuoi, ina kera, una kuta mdada mzuri halafu kazaa hana mume, ndo anaishia kudanganya sijawahi zaa, kwenda zako uko.
you shud keep yo dick to yo self too.Bottom line girls should keep their legs closed... He is not your husband dont give him the "cookie"......
Sema haki ya Mungu.
Nikimkuta kijana amesimama na binti yangu katika mazingira hatarishi, lazima parapanda Italia.
hahaaaaaaa wabeba mimba wengi wanaona kuna future ndio maana wanazibebakwani hiyo mimba aliwekewa wakati amelala!?? si wanataka wenyewe na ushirikiano wanatoa.. ka unaona bwana hana future na wewe yanini kumuachia papuchi tena kavu kabisa tena kwenye danger days...... wakomeeeeee
hahaaaaaaa wabeba mimba wengi wanaona kuna future ndio maana wanazibeba