Lets just COPY & PASTE katiba ya Kenya

Lets just COPY & PASTE katiba ya Kenya

Mkuu unani let down, tu copy na kupaste katiba ya wenzetu?

Jamaa anaonyesha sisi hatuna tunachoweza! Ndo maana sheria ya ugaidi tumekopi kila kitu. Kwa kukubali joke yake ninakubaliana naye sisi tumekuwa vinala wa uchakachuaji.
 
We can do it but we must also edit it na kudelete some other unimportant issues kama Mambo ya kuchanganya dini na serikali!
 
sio kwamba hatuna akili, hata hao wakenya kama hujui wame-copy and paste kutoka katiba ya Marekani USA, Pole sana kama hulielewi hilo.
Kama kuna katiba nzuri na ya kukidhi mahitaji ya wengi sioni kama kuna tatizo ikikopiwa
Ukweli sio kama tuna akiri cc za kukaa na kuandika katiba nzuri kama walivyofanya kenya,mungu ameshatulaani
 
sio kwamba hatuna akili, hata hao wakenya kama hujui wame-copy and paste kutoka katiba ya Marekani USA, Pole sana kama hulielewi hilo.
Kama kuna katiba nzuri na ya kukidhi mahitaji ya wengi sioni kama kuna tatizo ikikopiwa
Ni upuuzi usiomithilika kunakiri katiba ya wenzenu bila kujali mazingira yaliyosababisha wao kuwa na katiba hiyo. Watanzania tuna mambo yetu, mazingira yetu na vipaumbele vyetu. Kunakiri katiba ya kenya ni ujinga tena aibu ya karne.
 
Litakiwalo siyo kukopi katiba ya Kenya au nyingine yoyote ile - bali kuchukua/kutohoa mawazo mazuri kutoka katika katiba mbalimbali sio vibaya ili mradi haja za Tanzania zikidhiwe. Sio lazima tugundue tairi upya.
 
ha haa.... hawa wakenya bwana...katika katiba yao mpya... imepelekea wame legalize Chan'gaa au Gongo (a.k.a ngumu kumeza... rahisi kulewa).... yaani sasa hivi wakenya ni kunywa gongo kwa kwenda mbele ..., na hili nalo tuliige.... mateja si watatutoa roho
 
WAKUU WA MIKOA NA WILAYA WOTE WATOLEWE, MAANA HUWA WANATEULIWA NA RAISI.
Kuwe na Governor watakaokuwa wanachaguliwa na wananchi wenyewe

The Legislative branch will constitute of the following

An upper house - the Senate
  • Each of the 47 counties will have a Senator
  • A senator will be elected by the voters.
  • Tentative total number of Senators will be 60.
A lower house - the National Assembly
  • Each constituency (# of constituency to be determined by Independent Boundary Review Commission) - currently there are 210.
  • Majority of the Members of National Assembly will be directly elected by voters
  • Each county assembly will elect a woman MP - therefore guaranteeing a minimum of 47 women MPs in the National Assembly.
  • Tentative total number of MPs will be 290.
County Assemblies and Executive
  • The country will be divided to approximately 47 counties - the counties are comparable to the current districts.
  • Each county will have a County Executive headed by a county governor elected directly by the people and;
  • A county assembly elected with representatives from wards within the county.
 
Hii pia nimeipenda sana, sio lazima kuwe na Age limit ya kugombea Uraisi eti lazima uwe na miaka 45 mmh

The removal of age limit of 35yrs to run for President. New draft allows people to run as long as they are of adult age. Article 137(b)

Wabunge wakiboronga tuwe na uwezo wa kuwa adibisha au kuwa kataa.
Right to Recall legislators(Senators and Members of the National Assembly).(Article 104)
 
Any member of the Public has a right to bring up a case against the government on the basis of infringement of Human Rights and the Bill of Rights - Article 23(1)(2).
 
Dual Citizenship
  • A person who is a citizen does not lose citizenship by reason only of acquiring the citizenship of another country.
  • A person who as a result of acquiring the citizenship of another country ceased to be a Kenyan citizen is entitled, on application, to regain Kenyan citizenship.
 
This is tanzania and not kenya

a very unique country and were will live very differently to kenyans. We should not copy as their is very advance constitution and if you dont know their constitution was copies from usa. They are so many resembles with usa one.

Lets sit down and draft ow own. I believe we have very serious, intelligent and wise people to drive this thing through.

God bless africa
god bless tanzania
 
kama wataondoa kipengele cha uwepo wa mahakama ya kadhi . . . sawa tukopi na ku-paste.

15433_203783302185_164557967185_3696628_1950942_n.jpg



Hivi Mahakama ya Kadhi inatisha sana?

mbona kenya kuko shwari tuuu?
 
Tanzania We are looking forward in the coming 10 years to be exceptional among the East African Community
So we need our own constitution to prosper on that.
We can use it to add value but NOT copy and paste.

Nionyeshe kitu hata kimoja tulichokifanya sisi kama Taifa ambacho tume add value
 
Ni upuuzi usiomithilika kunakiri katiba ya wenzenu bila kujali mazingira yaliyosababisha wao kuwa na katiba hiyo. Watanzania tuna mambo yetu, mazingira yetu na vipaumbele vyetu. Kunakiri katiba ya kenya ni ujinga tena aibu ya karne.
Mkuu, tumenakiri vitu vingi tu toka Kenya, hili la katiba mpya halitakuwa geni.
 
Back
Top Bottom