Game Theory
JF-Expert Member
- Sep 5, 2006
- 8,546
- 881
Ok, I'll say it naona watu wanasita kulisema but to hell...
Because thats what we are good at. Mfano Tazama Anti- Terrorism laws zetu.Prof Issa Shivji alisema kuwa what we did ni COPY & PASTE ileee PATRIOT ACT ya U.S yaani tumecopy mpaka nukta na kadhalika.
Hili la katiba sioni matatizo yake na kama kuna marekebisho ni machache tuuu kukidhi
Constitution of Kenya - Wikipedia, the free encyclopedia
Tutapunguza gharama na pili as it is majority ya watu wanataka hii katiba mpya (EXCEPT MKONO na MWANSHERIA MKUU BWANA WEREMA...amabo wameenda on the record KUPINGA umuhimu wa Katiba mpya)
Katiba ya Kenya hii hapa:
http://www.tikenya.org/documents/final_draft_constitution2010.pdf
Sababu za WEREMA kukataa hiii katiba mpya ni nyingi lakini mojawapo alijua tutataka kama ya Kenya na kama ikipita, then kuna kipengele hiki kwenye katiba yao ambayo inasema kuwa NOT ONLY majaji wa Mahakama za Kenya itabidi wawe VETTED bali mpaka hao MAWAZIRI so this basically means rais na PM hawawezi kujifungia chumbani kupitia majina then watu mnatangaziwa tuuu....nooo Majina yazima yapitishwe ili kupatikane waadilifu!
Because thats what we are good at. Mfano Tazama Anti- Terrorism laws zetu.Prof Issa Shivji alisema kuwa what we did ni COPY & PASTE ileee PATRIOT ACT ya U.S yaani tumecopy mpaka nukta na kadhalika.
Hili la katiba sioni matatizo yake na kama kuna marekebisho ni machache tuuu kukidhi
Constitution of Kenya - Wikipedia, the free encyclopedia
Tutapunguza gharama na pili as it is majority ya watu wanataka hii katiba mpya (EXCEPT MKONO na MWANSHERIA MKUU BWANA WEREMA...amabo wameenda on the record KUPINGA umuhimu wa Katiba mpya)
Katiba ya Kenya hii hapa:
http://www.tikenya.org/documents/final_draft_constitution2010.pdf
Sababu za WEREMA kukataa hiii katiba mpya ni nyingi lakini mojawapo alijua tutataka kama ya Kenya na kama ikipita, then kuna kipengele hiki kwenye katiba yao ambayo inasema kuwa NOT ONLY majaji wa Mahakama za Kenya itabidi wawe VETTED bali mpaka hao MAWAZIRI so this basically means rais na PM hawawezi kujifungia chumbani kupitia majina then watu mnatangaziwa tuuu....nooo Majina yazima yapitishwe ili kupatikane waadilifu!