Mkuu, si umesikia lakininaliposema kuwa kukosekana kwa sheria ya cyber crime ni tatizo. By the way yeye si polisi wa kutoa taarifa unayohitajiMbunge wa chadema analalamikia watu kutukanwa kwenye mitandao ya kijami!!!!! Akimtolea mfano naibu spika! Hee! Aise! Sasa si angetoa mifano ya waliotukanwa , walivyotukana, aliewatukana na hatua walizochukuliwa hao anaosema wamekamatwa? Hata hivyo kutukana kwa ujumla wake si tabia ya kistaarabu.
huyo anatakiwa afukuzwe uanacha na kuvuliwa ubunge haraka.Leticia Nyerere, mbunge wa viti maalum chadema akichangia bungeni hivi sasa amesema yeye ni mtaalamu wa teknolojia ya CYBER CRIME, anaitaka serikali iwakamate mara moja watumiaji wa mitandao ambao wanatumia muda wao mwingi kutukana watu, wakiwamo viongozi mbalimbali.. ametoa mfano wa matusi yaliyotumwa kwa naibu spika na spika.
Amesema wapo watu hivi sasa wapo ndani lakini hataki kuwataja majina kwa kosa la kuchafua watu mitandaoni.
Nyerere anasema nyie kutwa mnakesha kutukana watu tuuuuu, wakati huyo unayemtukana anadunda tu hata habadiliki, si uache ufanye kazi nyingine????
Anasema watu wapo tu wanaangalia bunge anatafuta leo amtukane nani, akatolea mfano wa watu kumtukana SITTA, naibu spika akasema yeye ni mhanga ametukanwa sana.
wana JF, MNALIONAJE HILI????????????
Leticia Nyerere, mbunge wa viti maalum chadema akichangia bungeni hivi sasa amesema yeye ni mtaalamu wa teknolojia ya CYBER CRIME, anaitaka serikali iwakamate mara moja watumiaji wa mitandao ambao wanatumia muda wao mwingi kutukana watu, wakiwamo viongozi mbalimbali.. ametoa mfano wa matusi yaliyotumwa kwa naibu spika na spika.
Amesema wapo watu hivi sasa wapo ndani lakini hataki kuwataja majina kwa kosa la kuchafua watu mitandaoni.
Nyerere anasema nyie kutwa mnakesha kutukana watu tuuuuu, wakati huyo unayemtukana anadunda tu hata habadiliki, si uache ufanye kazi nyingine????
Anasema watu wapo tu wanaangalia bunge anatafuta leo amtukane nani, akatolea mfano wa watu kumtukana SITTA, naibu spika akasema yeye ni mhanga ametukanwa sana.
wana JF, MNALIONAJE HILI????????????
ulitaka atumie jina lako. SHAME ON YOU
Huyu mama tokea ameanza kuongea mpaka anakaa alizungumzia swala la kutukanwa mitandaoni povu jingi lilimtoka utadhani kwimba alitumwa kuelezea mambo ya kutukanwa mitandaoni, huyu bibi mkubwa huwa simwelewagi nafikiri bado ukijani haujatoka ndani,
ni mtazamo wangu na sio lazima ufanane na wako.......pengine hata humjui vizuri leticia na alifikaje hata kulipata hili jina engefu!
Hajatukanwa bali ajirekebishe maana anayoambiwa kwenye mitandao ndiyo TASWIRA yake katika jamii ya wanamitandao!.Akiongea bungeni katika kumuunga mkono mchangia hoja leticia nyerere kuhusu matumizi mabaya ya mitandao...job ndugai naye akatoa moyoni yaliyomkumba kwenye mitandao.
wewe linakuhusu nini
Why not labda unalako jambo mbona kaongea vizuri au wewe ndiye mtukanaji mbona umekwazika na hoja yake.i dont think if she z ok upstairs..............kwa hiyo kama yy ni mtaalamu wa cyber crime anataka ajira kwa siri kali?
Binafsi nina masikitiko MAWILI na huyu Mama:
- Kutumia jina la Nyerere
- Kuwa mwanachama CHADEMA