Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,870
- 155,833
Ndugai mwongo, mbona mi sikumtukana
Ndugai mwongo, mbona mi sikumtukana
hivi kusema ukweli ni matusi?Akiongea bungeni katika kumuunga mkono mchangia hoja leticia nyerere kuhusu matumizi mabaya ya mitandao...job ndugai naye akatoa moyoni yaliyomkumba kwenye mitandao.
kwahiyo anataka wote twende tukatukanie matusi bungeni kama yale ya juzi na mengine ya nyuma? Waache wanaotumia mitandao kufikisha ujumbe wao, maana viongozi wanakera.
Akiongea bungeni katika kumuunga mkono mchangia hoja leticia nyerere kuhusu matumizi mabaya ya mitandao...job ndugai naye akatoa moyoni yaliyomkumba kwenye mitandao.
MMh, uongozi kazi kama huna kifua
Wengine wanatukaniwa hadi wazazi wao na wanenyamaza tu
Tukisema la ukwel huyu mbunge ndani ya chama chetu ni janga na ni mzigo ,uyu ndio alisema wanaume wapelekwe kwenye chuo cha kufundisha kutongoza ili kupunguza ngono zembe ni mbunge kilaza sana hana tofauti na Sophia simba
Ajitazame kwanza mahali alipo. Bungeni kuna matusi makubwa kuliko anayoyahisi hapa JF!.
Hapa hakuna mtu aliyewahi kuambiwa F.UCK Y.OU, (especially kwenye jukwaa la siasa), ambapo Bungeni inatokea!
Na sisi tumedhalilishwa sana na Bunge, lakini tunadunda tu kudadadeki!