FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,776
Sijawahi kwenda kanisani. Kumbuka hilo.
Vipi wewe? ulianzia kanisa lipi?
Umewahi kusoma Kwa Father Kit Cunningham?
Hapo sasa!
Sijawahi kwenda kanisani. Kumbuka hilo.



Kulawitiwa mnaanza "stage" ipi? maana tunasoma kuwa 80% huko ni mashoga. Ushahidi...
![]()
Four in five Vatican priests are gay, book claims
French journalist’s book is a ‘startling account of corruption and hypocrisy’, publisher sayswww.theguardian.com
Kumbe unadhani?Kwanini RC wamekua na mambo ya Siri namna hii na wanatumia nguvu nyingi kufanikisha dini yao ijulikane
Huku kwetu mikoa ya pwani ambapo inaonekana kuna waislaam wengi wameongeza nguvu ya kuanzisha NGO's mbalimbali za misaada na utetezi wa kijinsia nadhani hawa ndio hao JESUIT
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi huelewi kuwa mpaka Umoja wa Mataifa umingilia hilo janga la Kanisa kuharibu watoto? Mpaka Umoja wa Mataifa uingilie ni kesi ndogo hiyo? Fikiri. Ushahidi huu hapa...Hiyo ingekua ni kesi endapo ili uwe mlawiti/ mlawitiwa lazima uwe unasomea upadre.
Hao watu wako kila mahali na kwa dini zote.
Kwa mwendo huu utajikuta unahoji kila kundi lenye hao watu wanaanza wakiwa katika hatua gani.
Nadhani wanaanza katika umri ule ule aliokuwa nao Mtume Muhammad wakati anambaka mtoto Aisha mwenye miaka 9 na kumfanya mkeweKulawitiwa mnaanza "stage" ipi? maana tunasoma kuwa 80% huko ni mashoga. Ushahidi...
![]()
Four in five Vatican priests are gay, book claims
French journalist’s book is a ‘startling account of corruption and hypocrisy’, publisher sayswww.theguardian.com
Hivi huelewi kuwa mpaka Umoja wa Mataifa umingilia hilo janga la Kanisa kuharibu watoto? Mpaka Umoja wa Mataifa uingilie ni kesi ndogo hiyo? Fikiri. Ushahidi huu hapa...
CrapWakuu,
Confidence ya huu uzi sina, naogopa kuandika hapa, ninatetemeka, maana hii taasisi inatisha kuliko hata amateur jihad fighters.
So I'll keep it short and sweet ila Jesuits, I'm sorry in advance. Msinitafute please.
UPADRI:
Iko hivi: Upadri ukiusomea kuna stage inafika inaitwa no return stage, in that stage unaambiwa kabisa...wait kwanza.
Quick Analogy: Kama unavyoingia Freemason, mwanzoni si wanakuambia hiki ni chama tu kama vicoba? Yani hakihusishi dini wala imani yoyote, hakina mambo ya kafara wala nini, ni kwa ajili ya kusaidia jamii kuondokana na umasikini. Lakini si ukishaingia ukazidi kuusoma na kupanda degree, kuna ile degree inafika unaambiwa sasa hapa there is no return.
Hapo ndipo utaanza kufundishwa true intention ya FM na kuhusu ibada za shetani n.k. At that stage wanakuambia ukiacha tu tunakuua.
Turudi kwenye mada sasa.
Hivyo hivyo inakuwaga upadri. Ukienda kusoma unapopanda madegree mpaka Vatican huwa kuna stage. Sasa inafika unaambiwa the true face of Catholicism na unaambiwa kabisa who is our god, our plans for this world, who are our enemies na mambo mengine kedekede. At that stage inakuwa too late huwezi tena kuacha.
Hii ipo true na ni fact kuwa huwezi kuacha upadri, hata uzini, uue, uibe unaweza ukafukuzwa kazi lakini utaendelea kukaa sehemu malumu ukichungwa na kuendelea kulipwa, lakini siyo kurudi mtaani na kuanza mishe za boda boda, hata ukirudi mtaani watakua wanakuchunga sana.
Hata ivo watakuwa wanakuamini sana mpaka wakuruhusu urudi mtaan (kama mfungwa wa nje)
Huwezi kubadili dini maana wanajua utaenda umwage siri za Vatican, personally niliambiwa hizi mambo na padri fulani alizini akataka kubadili dini wakathreat kumuua. Hii ishu baadhi ya wajuvi watakuwa wanajua ngoja niishie hapa.
JESUITS: Hii organization ipo ndani ya dini na ni far, far, far, far worse zaidi ya upadri maana kazi ya padri ni kuhakikisha anashika raia wengi kanisani lakini hawa CIA kazi yao ni kudeal na affairs za kikanisa nje ya kanisa. Hawa ndo wanakuwa marais, mashehe, wachungaji, wanasiasa, wanamziki, wafanyabiashara wakubwa n.k n.k n.k.
Hawa kukupoteza ni dakika sifuri. Kuna kiongozi wa dini fulani (kapuni) isiyo RC alifukuzwa baada ya kugundulika ni Jesuit.
Hawa ndiyo mimi nawaogopa na ninajua nimeshawakosea kwa kuvujisha siri hapo juu.
With that being said wajameni Jesuits nilikua natania tu hapo juu msichukulie serious (I'm serious)
Kulawitiwa mnaanza "stage" ipi? maana tunasoma kuwa 80% huko ni mashoga. Ushahidi...
![]()
Four in five Vatican priests are gay, book claims
French journalist’s book is a ‘startling account of corruption and hypocrisy’, publisher sayswww.theguardian.com
Ukiwa close sana na padri then maybe then anaweza kukupa siri hizi...but hauwezi kiacha upadri kama vile ambavyo hauwezi kuacha usalama wa taifa uende kuuza nyanya.Nimekaa kwa zaidi ya miaka saba kwa ukaribu sana na hawa Mapadre, mabruda na masister wa kikatholic....
Aisee hawa jamaa wote wana character flan moja ambapo huwa najiuliza sana!!! Ni coincidence tu wote kua na tabia hiyo moja au ni mafundisho!!??
Ni hivi, hawa watu bhana, wanapenda sana kujifanya wakarimu, wana huruma sana kwa binadamu na wanapenda kusmile na kucheka na watu........lakin ukikaa kuwachunguza kwa umakini wa jicho na upembuzi thabiti, utagundua hawa jamaa ni wana roho mbaya mbaya na ya kikatili sijapata kuona.
Sent using Jamii Forums mobile app
Knowledge is power...read and you shall be free.Conspiracy za kitoto sana. Hakuna ushahidi wala reference yoyote yaani tuamini story uliyosimuliwa!! Mimi sio RC sina maslahi yoyote hapa ila I'm not buying this
So brother mshana ulikuwa unaelekea kuwa padri...what happened mwana kondoo uliyepotea????
Katika madhehebu ya kikristu ambalo halijitangazi bhasi katholiki wanaongozaKwanini RC wamekua na mambo ya Siri namna hii na wanatumia nguvu nyingi kufanikisha dini yao ijulikane
Huku kwetu mikoa ya pwani ambapo inaonekana kuna waislaam wengi wameongeza nguvu ya kuanzisha NGO's mbalimbali za misaada na utetezi wa kijinsia nadhani hawa ndio hao JESUIT
Sent using Jamii Forums mobile app
kwa nini uliacha?Huenda leo ungekuwa kasisi mmoja mkubwa sana,mwanasiasa,mwanamuziki,kachero.Nimejifunza na kuishi utawa kwa miaka 5 na kukamilisha hatua mbili muhimu... Hatua ya tatu ndio ingekuwa a point of no return! Ningeifanya ile sijui leo hii ningekuwa wapi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mshana Jr; kumbe aliyasema mleta UZI ni kweli kuwahusu mapadri? Aise???? Ndio maana Padree Kalugendo alichukua Zaidi ya miaka 20 kuoa since aachane na day to day activities za kanisa ingawa pamoja na kuachana na hizo activities, stil mitaani na maandiko yake alikua akijitambulisha kama padre. Noma sana RCNimejifunza na kuishi utawa kwa miaka 5 na kukamilisha hatua mbili muhimu... Hatua ya tatu ndio ingekuwa a point of no return! Ningeifanya ile sijui leo hii ningekuwa wapi
Sent using Jamii Forums mobile app