Let me adress the unadressable: Jesuits & mapadri

Let me adress the unadressable: Jesuits & mapadri

Kwanini RC wamekua na mambo ya Siri namna hii na wanatumia nguvu nyingi kufanikisha dini yao ijulikane

Huku kwetu mikoa ya pwani ambapo inaonekana kuna waislaam wengi wameongeza nguvu ya kuanzisha NGO's mbalimbali za misaada na utetezi wa kijinsia nadhani hawa ndio hao JESUIT

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kulawitiwa mnaanza "stage" ipi? maana tunasoma kuwa 80% huko ni mashoga. Ushahidi...



Hiyo ingekua ni kesi endapo ili uwe mlawiti/ mlawitiwa lazima uwe unasomea upadre.

Hao watu wako kila mahali na kwa dini zote.
Kwa mwendo huu utajikuta unahoji kila kundi lenye hao watu wanaanza wakiwa katika hatua gani.
 
Kwanini RC wamekua na mambo ya Siri namna hii na wanatumia nguvu nyingi kufanikisha dini yao ijulikane

Huku kwetu mikoa ya pwani ambapo inaonekana kuna waislaam wengi wameongeza nguvu ya kuanzisha NGO's mbalimbali za misaada na utetezi wa kijinsia nadhani hawa ndio hao JESUIT

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe unadhani?
 
Hiyo ingekua ni kesi endapo ili uwe mlawiti/ mlawitiwa lazima uwe unasomea upadre.

Hao watu wako kila mahali na kwa dini zote.
Kwa mwendo huu utajikuta unahoji kila kundi lenye hao watu wanaanza wakiwa katika hatua gani.
Hivi huelewi kuwa mpaka Umoja wa Mataifa umingilia hilo janga la Kanisa kuharibu watoto? Mpaka Umoja wa Mataifa uingilie ni kesi ndogo hiyo? Fikiri. Ushahidi huu hapa...

 
Kulawitiwa mnaanza "stage" ipi? maana tunasoma kuwa 80% huko ni mashoga. Ushahidi...

Nadhani wanaanza katika umri ule ule aliokuwa nao Mtume Muhammad wakati anambaka mtoto Aisha mwenye miaka 9 na kumfanya mkewe
 
Hivi huelewi kuwa mpaka Umoja wa Mataifa umingilia hilo janga la Kanisa kuharibu watoto? Mpaka Umoja wa Mataifa uingilie ni kesi ndogo hiyo? Fikiri. Ushahidi huu hapa...


You are right madam!

Sijujua jambo likiingilwa na umoja wa mataifa au kuandikwa mtandaoni/ magazetini ni hatari kiasi hicho.

Lakini link uliyotuma haifunguki.
 
Wakuu,

Confidence ya huu uzi sina, naogopa kuandika hapa, ninatetemeka, maana hii taasisi inatisha kuliko hata amateur jihad fighters.

So I'll keep it short and sweet ila Jesuits, I'm sorry in advance. Msinitafute please.

UPADRI:
Iko hivi: Upadri ukiusomea kuna stage inafika inaitwa no return stage, in that stage unaambiwa kabisa...wait kwanza.

Quick Analogy: Kama unavyoingia Freemason, mwanzoni si wanakuambia hiki ni chama tu kama vicoba? Yani hakihusishi dini wala imani yoyote, hakina mambo ya kafara wala nini, ni kwa ajili ya kusaidia jamii kuondokana na umasikini. Lakini si ukishaingia ukazidi kuusoma na kupanda degree, kuna ile degree inafika unaambiwa sasa hapa there is no return.

Hapo ndipo utaanza kufundishwa true intention ya FM na kuhusu ibada za shetani n.k. At that stage wanakuambia ukiacha tu tunakuua.

Turudi kwenye mada sasa.

Hivyo hivyo inakuwaga upadri. Ukienda kusoma unapopanda madegree mpaka Vatican huwa kuna stage. Sasa inafika unaambiwa the true face of Catholicism na unaambiwa kabisa who is our god, our plans for this world, who are our enemies na mambo mengine kedekede. At that stage inakuwa too late huwezi tena kuacha.

Hii ipo true na ni fact kuwa huwezi kuacha upadri, hata uzini, uue, uibe unaweza ukafukuzwa kazi lakini utaendelea kukaa sehemu malumu ukichungwa na kuendelea kulipwa, lakini siyo kurudi mtaani na kuanza mishe za boda boda, hata ukirudi mtaani watakua wanakuchunga sana.

Hata ivo watakuwa wanakuamini sana mpaka wakuruhusu urudi mtaan (kama mfungwa wa nje)

Huwezi kubadili dini maana wanajua utaenda umwage siri za Vatican, personally niliambiwa hizi mambo na padri fulani alizini akataka kubadili dini wakathreat kumuua. Hii ishu baadhi ya wajuvi watakuwa wanajua ngoja niishie hapa.

JESUITS: Hii organization ipo ndani ya dini na ni far, far, far, far worse zaidi ya upadri maana kazi ya padri ni kuhakikisha anashika raia wengi kanisani lakini hawa CIA kazi yao ni kudeal na affairs za kikanisa nje ya kanisa. Hawa ndo wanakuwa marais, mashehe, wachungaji, wanasiasa, wanamziki, wafanyabiashara wakubwa n.k n.k n.k.

Hawa kukupoteza ni dakika sifuri. Kuna kiongozi wa dini fulani (kapuni) isiyo RC alifukuzwa baada ya kugundulika ni Jesuit.

Hawa ndiyo mimi nawaogopa na ninajua nimeshawakosea kwa kuvujisha siri hapo juu.

With that being said wajameni Jesuits nilikua natania tu hapo juu msichukulie serious (I'm serious)
Crap
 
Nimekaa kwa zaidi ya miaka saba kwa ukaribu sana na hawa Mapadre, mabruda na masister wa kikatholic....
Aisee hawa jamaa wote wana character flan moja ambapo huwa najiuliza sana!!! Ni coincidence tu wote kua na tabia hiyo moja au ni mafundisho!!??

Ni hivi, hawa watu bhana, wanapenda sana kujifanya wakarimu, wana huruma sana kwa binadamu na wanapenda kusmile na kucheka na watu........lakin ukikaa kuwachunguza kwa umakini wa jicho na upembuzi thabiti, utagundua hawa jamaa ni wana roho mbaya mbaya na ya kikatili sijapata kuona.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiwa close sana na padri then maybe then anaweza kukupa siri hizi...but hauwezi kiacha upadri kama vile ambavyo hauwezi kuacha usalama wa taifa uende kuuza nyanya.
 
JF bana dah!

Eti jamaa kavujisha siri.

Tafuta nyuzi humu, hao Jesuits wameshaandikwa sana, kanisa limeshaandikwa sana.

Hao watumishi wa makanisa mengine wameshaandikwa sana, iwe RC, Anglican, Islam, Pentecost nk hayakosi kusemwa, hayataisha kusemwa.

Kila mtu aiishi imani yake kama anavyoagizwa na miongozo inayomhusu. Tuheshimu imani za wenzetu.

Kukaa na kukashifu imani za wengine si kitu, bali ni kuichafua nafsi yako.
 
Conspiracy za kitoto sana. Hakuna ushahidi wala reference yoyote yaani tuamini story uliyosimuliwa!! Mimi sio RC sina maslahi yoyote hapa ila I'm not buying this
Knowledge is power...read and you shall be free.
ila my take hawa jesuits sio wa kitoto mzee FM wakasome kwa jesuits tena kuna mkuu wa freemason mwaka fulani alimaindi sana baada ya kungudua hata memba wake wwngi wenye vyeo vikubwa ni jesuits.
Hawa wajinga hata ww1 na ww2 waliplay part kubwa sana kuvipropagate

 
Kwanini RC wamekua na mambo ya Siri namna hii na wanatumia nguvu nyingi kufanikisha dini yao ijulikane

Huku kwetu mikoa ya pwani ambapo inaonekana kuna waislaam wengi wameongeza nguvu ya kuanzisha NGO's mbalimbali za misaada na utetezi wa kijinsia nadhani hawa ndio hao JESUIT

Sent using Jamii Forums mobile app
Katika madhehebu ya kikristu ambalo halijitangazi bhasi katholiki wanaongoza

Hawatumii promo wala miujiza kuwateka watu. Ukiona mtu kabaki Catholic bhasi jua ni dhamiri yake na hajalazimishwa kubaki

Kingine toka ukatholiki unaingia Africa, huduma za kijamii imekuwa ni alama yake. Mashule, vyuo hadi hospitali yaani hiyo NGO's ni kitu kidogo sanaaa katika hili kanisa
 
Nimejifunza na kuishi utawa kwa miaka 5 na kukamilisha hatua mbili muhimu... Hatua ya tatu ndio ingekuwa a point of no return! Ningeifanya ile sijui leo hii ningekuwa wapi

Sent using Jamii Forums mobile app
Mshana Jr; kumbe aliyasema mleta UZI ni kweli kuwahusu mapadri? Aise???? Ndio maana Padree Kalugendo alichukua Zaidi ya miaka 20 kuoa since aachane na day to day activities za kanisa ingawa pamoja na kuachana na hizo activities, stil mitaani na maandiko yake alikua akijitambulisha kama padre. Noma sana RC
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom