Lessons from Egypt and Tunisia

Mtoa mada usitake kupotosha watanzania; ukweli ni kwamba yaliyotokea Tunisia na Leo Misri ni somo la kutosha kwa viongozi sio tu wanaong'ang'ania madaraka lakini pia MAFISADI. Nikuulize; hivi utakaa meza moja na mafisadi mjadili kitu gani; hivi kama tuliowachagua kuongoza wamegeuka waporaji na wafilisi wa watanzania unakaa nao meza moja ili arudishe alivyopora au kumtaka mwizi CCM na serikali yake wageuke waungwana?.Hii siyo rahisi na ukikaa meza moja utacheleweshwa tu na porojo na kuahirisha miaka nenda rudi na utabaki palepale. Dawa pekee ya hawa viongozi wa kizazi hiki hasa wale walevi wa madaraka na wezi ni kuwatoa kwa lazima wakae pembeni ili waadilifu wapewe nafasi ya kuwaletea wananchi maendeleo.

Kwa ufupi tunahitaji kupata uhuru kutoka katika mikono ya viongozi wezi na wabadhilifu wasiojali wananchi wao ikiwamo CCM na serikali yake
Siku zote mtu asiye na busara, hata akitembea kwingi huko duniani, hutokea kuona mengi, kuvutiwa na mengi zaidi na HUSAHAU MENGI vile vile kisha mwisho wa siku HUKOSA MENGI ya kujifunza kwa namna yoyote ile.

HATA NA MIMI NINGEKUWA NAJUA UTAMU WA UFISADI KUTOKA HATA KWA NYUMBA
YA JIRANI TU WALA NISINGERUHUSU KUFUNGUA AKILI YANGU KUJIFUNZA LOLOTE
TOKA TUNISIA NA MISRI - NI AMANI ALIMRADI KULA YANGU INA UHAKIKA!!!

Wala sijashtuka kitu baada ya kusoma kwamba KISHINDO KILICHOTETEMESHA BARA LOTE LA AFRIKA NA GHUBA kiutawala bado na hapa kwetu Tanzania kuna watu ambao HAWAKUJIFUNZA CHOCHOTE KITU.

Huyu mpenda amani wa nchini kwetu lakini bila halki aonekana kustaajabu sana kinachowakereketua watu mpaka kwenda kuandamana mtaani. Napenda nimhakikishie kwamba kwenda mtaani si kama uamuzi wa kwenda disko Billcanas na wala haalikwi mtu huko.

Njaa, dhuluma, maonevu yakija kukufikia pomoni --- sawa na jinsi ambavyo MTU FULANI MWENYE BUSARA FUPI ALIVYOJIPANGA HIVI SASA kila idara Bungeni Dodoma akiinuia kuziba njia zote za UMMA KUSIKIKA WALA KUPITISHIWA MATAKWA YAO (Juhudi hizo wengine tunaziona kama kujaribu kujuia jua vile na ungo mwanga wake usifike duniani), kiburi, visasi, upendeleo, ujanja ujanja wa kuzuiya kusikilizwa --- mwenyewe tu utajikuta msitari wa mbele ukiongoza na kusema; aheri ya kufa kishujaa kwa sababu ya msingi kwa taifa kuliko kuishi kwa aibu kwa maslahi ya ma-mishenitauni wa kwenye misuti ma-ofisini!!

Usinisbughudhi na swali kutaka kujua kama huyu MLETA HOJA ni miongoni mwao MAFISADI wa nchi hii amba usiku huu wa leo wataelekea kitandani kulala huku mioyo ikidunda kuhusu MWELEKEO WA KAULI YA MAMA CLINTON JUU YA 'PERFECT STORM OF CHANGE' na jisi vijana wadogo wadogo walivyofanya maajabu huko Tunisia na Misri kuleta mabadiliko wanayoyataka.

Ni kweli kabisa kwamba huyu mwenzetu 'MPENDA AMANI BILA HAKI' asingeweza hata kidogo kujifunza kitu huko kaskazini mwa Afrika. Kwa wenye maono haba, usiku wala huwa hauna tofauti na mchani - kwani yote si ni majira tu katika siku!!!
 
Kuna Mzungu mmoja aliniambia:

HAKI HAIOMBWI, INADAIWA...............
TENA KWA DAMU.
 
I fully agree with your observation, mkuu Kitila! What we are witnessing unfolding in Tunisia and Egypt is an eye-opener. Thise with eyes to see shall see, and those with ears to hear shall hear. But fools shall not!
 
Shy said:
Hatuna cha kujifunza kutoka nchi hizi mbili pengine wao ndio watuige sisi katika masuala kadhaa ambayo yanazungumzika .
Nilitegemea Tech. savvy muwe wa kwanza kutoa ushuhuda wa mambo ya kujifunza kupitia "Tunia and Egypt uprising", yet nakutana na upotoshaji huu toka kwa mtu ambaye uandika mambo kuonesha anaufahamu wa masuala ya Tech., kumbe zero kabisa. Sasa wewe unawakilisha vijana wa namna gani?

Mambo ya kujifunza ni mengi sana unless you're blindend na fedha za kifisadi:
1. watawala wetu wanaojaribu kujenga "mornachy" wamepata somo.
2. hakuna rafiki anayeweza kuvumilia kukuona ume'cling' kwenye utawala wa watu kwa miaka mingi ilhali watu hao ni masikini wa kutupa
3. vijana kama wewe ndio watu wa kwanza kutaka mabadiliko, hasa pale unapozaliwa mpaka sasa unapoelekea kumaliza life-expectancy yako bado siasa nchini mwako imedumaa na ujinga wa chama tawala
4. technolojia, ambayo wewe ni muumini, inaweza kubadili imani za watu wakawa wamoja na kuleta mabadiliko kwenye maisha yao
5. na mengine mengi.
 
Naona hujui unalosema ama umetumwa!
Au utakuwa ni kati ya wale misukule ya mheshimiwa 'sijui'

Nakupa big up mzee, Tz tunayo ya kujifunza tena mengi, kwani matatizo ya Misri ki uchumi, ki elimu, ki afya na maendeleo kwa ujumla yana afadhali sana kuliko hapa kwetu tulivyo sasa, pamoja na ukweli huu bado yametokea tuliyo yaona. Kama hatutachukua juhudi za kupunguza machungu ya maisha yaliyoko sasa si mbali sana tunaifuata njia hiyo ya misri na tunisia.

Kwa kumsaidia mleta topic kupata data za research anayofanya atembelee mitaani aone watu walivyo na hasira wanasubiri wapate pa kulianzisha mtashangaa.

Kauli zake zinaonyesha kama mtu aliye shiba na kusaza au ametumwa na alyie shiba na kusaza. Ila ajue pakukimbilia wapi, tahadhari Wazungu vigeugeu wakibanwa kiodogo tu wanakukabidhi the hague, mjue pa kukumbilia.
 
Kwa watanzania wakawaida kilichotokea Misri na Tunisia sio cha kujifunza wala kuiga angalau kwa sasa...
We mzee unaonekana aidha ni katili sana au una roho ya usongo. Ndio maana tangu umejiunga 2006 hujawahi kutoa "thanks" hata moja! You must be working for the system!

Shy

JF Senior Expert Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
im_yahoo.gif


Join Date : 2nd November 2006
Posts : 4,654
Thanks 0
Thanked 370 Times in 198 Posts
Rep Power : 34
 
Inawezekana kabisa wengine hawaoni lolote la kujifunza Tunisia na Egypt...kwangu mimi nimepata mafunzo makuu mengi ambayo yamethibitisha yale niliyoyaamini juu ya nguvu ambazo umma wa watu unazo. halafu sasa ni wazi kabisa ile chain ya kufanya uongozi wa nchi ndani ya bara la afrika ni biashara ya kifamilia na kuwasahau wananchi imevunjika.
Tutaona mengi sana kwasababu ya egypt na tunisia ambayo sio lazima kila mtu atakubaliana nayo
 
Yako mengi ya kujifunza kutoka Tunisia na Misri, lakini jee tuko tayari kujifunza?
Yaliyokuwa yanaendeleTunisia na Misri yanaendelea kutokea Tanzania kila uchao: Umasikini wa kutisha katika nchi tajiri, viongozi wasiojali maslahi ya watu wake bali yao binafsi, njaa, magonjwa, ujinga, rushwa... na kila aina ya uoza. Huyo kijana uliyemwita Mmachinga, ni kijana aliyekuwa na elimu ya chuo,na bado hakuwa na ajira. Kilichomponza ni kuuza bidhaa mitaani wakati serikali haikumpatia kazi. Vijana kama hawa wapo wangapi Tanzania? Tuwauwe kwa sababu wanajipatia riziki zao halali?

Sina haja ya kuyarudia yote yaliyosemwa, bali nasisitiza kuwa yapo mengi ya kujifunza. Kwa upande mmoja hata mimi ninachukia fujo, lakini unapofika wakati ukawa umepoteza imani na matumaini, unapokuwa huna cha kupoteza isipokuwa uhai ambao hata kuishi ni kero, kwa nini usiingie mitaani kudai haki yako? Tukibakia na "wimbo mtamu wa amani" huku matumbo yana njaa, watoto hawaendi shule, huna pesa kwa dawa, kama sio mitumba unakwenda uchi, na bado unaimbiwa amani nawe unaitikia, kweli utakuwa huna ulichojifunza kutoka Tunisia na Misri.

Wito wangu kwa Watanzania, tuamke sasa au tulale maisha huku tukibembelezwa na wimbo wetu wa amani.
 
Kwani muslim brotherhood hawatakiwi kutawala hicho ni chama tu kama kile cha christian democratic cha germany acha woga sid down and wait to see how people are reshaping da world.
 
Mtoa mada usitake kupotosha watanzania; ukweli ni kwamba yaliyotokea Tunisia na Leo Misri ni somo la kutosha kwa viongozi sio tu wanaong'ang'ania madaraka lakini pia MAFISADI. Nikuulize; hivi utakaa meza moja na mafisadi mjadili kitu gani; hivi kama tuliowachagua kuongoza wamegeuka waporaji na wafilisi wa watanzania unakaa nao meza moja ili arudishe alivyopora au kumtaka mwizi CCM na serikali yake wageuke waungwana?.

Hii siyo rahisi na ukikaa meza moja utacheleweshwa tu na porojo na kuahirisha miaka nenda rudi na utabaki palepale. Dawa pekee ya hawa viongozi wa kizazi hiki hasa wale walevi wa madaraka na wezi ni kuwatoa kwa lazima wakae pembeni ili waadilifu wapewe nafasi ya kuwaletea wananchi maendeleo.

Kwa ufupi tunahitaji kupata uhuru kutoka katika mikono ya viongozi wezi na wabadhilifu wasiojali wananchi wao ikiwamo CCM na serikali yake

"IKIWA UMEJARIBU NA KUSHINDWA, ANGALAU UMEJARIBU. IKIWA HUKUJARIBU, TAYARI UMESHINDWA" Watanzania, tusishindwe kabla ya kujaribu.
 
Ama kweli tuna mitizamo tofauti, huu ni niseme ni upofu
Wengi wamechangia nami nachagua kukujuza machache tu:
Hivi katika kuangalia hasara walizopata Tunisia na misri ulikumbuka kuangalia faida watakazopata kutokana na mabadiliko haya? Nikuorodheshee chache tu
  • Amani ya kweli(siyo utulivu)
  • Uzalendo wa kweli utakaozaliwa kutokana na mabadiliko haya
  • Ufisadi na aina zote za wizi utakaoepukwa(bilioni ngapi tutakazookolewa kutoka midomo ya mapapa
  • Somo kwa watawala watakaokuja kuheshimu ‘peoples power’
2. Inasemekana walikuwa wanapoteza dola mil 300 kwa siku moja …
Kwa hesabu hii Tunisia inaingiza kutokana na vyanzo vichache vilivyoathirika(siyo vyote) US$ 300x365= 109.500bn kwa mwaka?? (kumbuka GDP ya Tunisia ni US$ 43.863 billion -SOURCE The World Economic Outlook (WEO) data base Oct 2010). Hata wangeingiza kiasi hiki je, umejiuliza kwa utawala wa kikandamizi kama waliokuwa nao ni kwa kiasi gain cha pato hili lililopotea lilikuwa zinamnufaisha mwananchi wa kawaida?? Mfano kwa Misri ambapo unakubali kuwa rais ameweza kujikusanyia Bil 70??
USITUFUNDISHE WOGA- Tumejifunza!!
:peace:
 
For me:


  1. This revolution was leaderless! When wananchi decide that enough is enough, there is no power of oppression or coercion that can defeat them.
  2. During the great time of a nation's self determination and revolution such as that we have seen in Egypt, it is neither the NGOs nor the political parties that are at forefront, it is the people. People themselves become the leader and the lead.
  3. It is not possible in the contemporary world that you can cling to power undemocratically. Democracy is the only way. Yes, African leaders will fake and manipulate the people, but this will never continue for ever. They have no option but to truly democratize their countries or else they will face a shameful defeat by the people. In today's world, you only lead so long as you have the public confidence and support.
  4. Every struggle requires some sections of people to sacrifice, as Steve Biko once said: there is no struggle without casualties. This revolution has taken a 30 year old Wael Ghonim, to lie to his employer, the Google, that he was returning home in Egypt for what he called ' a personal problem'. He left his lucrative career to return home to join the unemployed and downtrodden youth to oust a dictator.
I salute Wael Ghonim, I salute the people of Egypt

Kitila,
The good thing for you is that you believe that there is no change until blood has beed shade but you never participated in any demonstration so far conducted in our country whether legal or illegal.

There is a little difference from what has happened in Tunisia or Egypt. The ideology behind is to see those countries which preaches "Democracy" are the ones which supports these dictatorship leaders of Tunisia, Egypt, Pakistan, Uganda and the like. They normally call them "our close allies (friends)".
Think what happen when "Hamas did democratic election" and what is happening now. Who is there to help them? Are they not human being??? Don't they have a right to freedom??
And you find citizens of those countries have no right to express their opinions. And that is where they try to find means of expressing their ideas including burning themselves.
This scenario is totally quite different from our country where we have a democratic system of changing our leaders peacefully. Yes there might be some descrepancies in ballout counted due to demographic location and infrastructure but yet still we get our leaders.
We are in a position of telling our leaders on corruption issues any time this becomes open but unfortunately the influency of some religious groups hampers the efforts of taking these leaders accountable.
And this is the main reasons why we are where we are!
So let Tunisia and Egypt learn from us and make some small ammendments. They will be far away from us in Democracy.
 
This scenario is totally quite different from our country where we have a democratic system of changing our leaders peacefully. Yes there might be some descrepancies in ballout counted due to demographic location and infrastructure but yet still we get our leaders.
We are in a position of telling our leaders on corruption issues any time this becomes open but unfortunately the influency of some religious groups hampers the efforts of taking these leaders accountable.
And this is the main reasons why we are where we are!
Hapo kwenye nyekundu namaanisha ACHA UONGO!
 
Back
Top Bottom