bab-D
JF-Expert Member
- May 2, 2015
- 1,207
- 301
Naomba nielimishwe, leseni ya udereva ikiisha muda ulioandikwa inamaanisha na ujuzi unaisha? Kwa nini kama ndiyo hata vyeti vya taaluma basi tuwe tunabadilisha kila baada ya muda fulani.
Pia kama Kitambulisho cha NIDA kimefutiwa ukomo basi na leseni ifutiwe.
Au ni biashara?
Pia kama Kitambulisho cha NIDA kimefutiwa ukomo basi na leseni ifutiwe.
Au ni biashara?